Kuepusha stress za ndoa, do not marry a first born... Responsibility kibao!

Utafiti wako mbona umeukamilisha kwa tukio moja tu??
Halafu hivi ukiolewa undugu baina ya mama na ndugu wengine unakwisha eenh??

Nina rafiki yangu hajakaa hata mwezi Kwenye ndoa mama mkwe kahamia na wajukuu wa Tatu .rafiki
Yangu kanipigia simu analia kwa uchungu baada ya kumuuliza mume wake kwa nini wanahamia akasema yeye ni first born .Wewe ungefanyaje ?
 
hii kali. Nmesoma thread, nmesoma comments za watu woote, nmesoma majibu ya huyo dada anaejiita Natalia, muke ya muzungu, mtoto wa fisadi. Nilichogundua anahitaji msaada haraka sana wa kisaikolojia, ingawa ye mwenyewe anajiona yuko mzima.
Ni wa kumhurumia na kumuwahishia matibabu haraka sana. Utadhani hajakulia tz bwana. Eti waliozaliwa 70' wazazi wao wako vzr, umetembea tz kweli ww? Au wazazio mafisadi wamekuambukiza na ww ufikiri kila mtz ana maisha bora? Mbona huna utu wewe?
Pia nmegundua stori yako mwanzoni ulimaanisha unachosema, baadae ukaanza kutengeneza ili ionekane km unatetea kitu kionekane sawa.
Jitahidi utafute psychologist akusaidie uwe sawa.
 
huyo mumeo mdhungu lazima ana miaka zaidi ya 60, utafiti wa vichochoroni umeonyesha kuwa wadada wanaojidai wameolewa na wadhungu, waume zao huwa ni 50plus.
 
Nimemwambia atupe vitu vyao nje .mume mwenyewe mshahara million 2 shillings jamani .extended family Noma

Hivi Natalia unaongea kwa kumaanisha au? Mbona anamshahara wa kutosha kabisa kuhudumia mpk kuku wa kwa mkwewe? ni kujipanga tu na je angeolewa na Mwanaume anayefanya kazi serikalini nshahara 276,000/= per month na hapo haijakatwa kodi ingekuwaje? mshauri mwenzio ajipange na wamfanyie huyo mama kitu ambacho kitakuwa kinamwingizia ili aweze kuondoka hapo. Lakini asimtupie vitu vyake nje.
Jiulize wewe ungekuwa ni ndugu wa huyo mume na kwenu hamna kitu halafu mama yako anatupiwa vitu nje ungejisikiaje? Vaa viatu hivyo.
 
uchungu wa rafiki yako unaweza kuzidi uchungu wa huyu mama mkwe kumzaa kijana wake? ukizingatia kijana ni first born so hata uchungu wake ni mnene zaidi. mwambie rafiki yako aachane kabisa na hawa wanaume wa kwanza kuzaliwa

Unamaanisha aachike au?maanake ndo kashaolewa hivyo!
 
Nina rafiki yangu hajakaa hata mwezi Kwenye ndoa mama mkwe kahamia na wajukuu wa Tatu .rafiki
Yangu kanipigia simu analia kwa uchungu baada ya kumuuliza mume wake kwa nini wanahamia akasema yeye ni first born .Wewe ungefanyaje ?
Umewasahau na wale ambao sio mafirstborn ila kwao ndo ukoo mzima ye ndo amesoma na ana uwezo wa kifedha,na hao mziki wake si mchezo.
 
Ninezaliwa muhimbili miaka 35 iliyopita .wazazi wangu wawili wote walikuwa na masters degrees.my parents are wealth na nimeolewa na mwanaume wealth sina shida hata kidogo .

Mshukuru MUNGU kwa Haya na Usilete Ngebe wala Dharau Kwa Sisi Waafrika..

Umeniudhi Sana kwa Jinsi Unavyowatukuza Wazungu...WEWE NI MTUMWA..Mtu Usiyeweza Kuthamini vya kwenu..

Kwani Wazazi wako Kuwa na Masters ndo kitu gani?? Kwani Unaona Masters ni kitu cha Ajabu sana au??? Unachekesha Sana...Masters Hainitishi dada,Mi naona ni kitu cha kawaida tu...Naithamini Elimu na Ninaithamini pia hiyo Masters ila sio kuleta majivuno eti kwa sababu ya Masters!!!

Kuna Wenye wazazi waliosoma Kuliko wa Kwako na hawana Dharau Hizo!!! Ni Ulimbukeni tu Ulionao..Natalia Umeniudhi kwa Nyodo zako sio Siri..
BADILIKA,WAZUNGU NI WATU TU KAMA WEWE USIWATUKUZE HIVYO
 
Yes 3 children na mwingine njiani .And I run the show in my married ( I'm boss lady )

Hapo Kwenye RED hapo...Mbona Kingereza chako ni VERY BROKEN???
Ha ha ha...Unajifanya wa Kishua..Kingereza chenyewe hata kwa sisi tulio Bongo tusio na Wazazi wenye Masters kama wewe tunajua kuliko wewe..ACHA KUJIAIBISHA..ONGEA TU KISWAHILI UTAELEWEKA.
 
Sijaona ubaya! hebu acha kutuzibia rizki ma-first born jamani loooo!hawana sehemu nyingine thats y!aishi nao tu hakuna jinsi
 
Nimemwambia atupe vitu vyao nje .mume mwenyewe mshahara million 2 shillings jamani .extended family Noma

Poor Mind!!u think hao ndugu wamependa kwenda kuishi hapo eeh?it might happen kwako
who knows...things always change
 
Hee Natalia this describes Heaven, where the Bible says I'll live forever with my Saviour. Is there where you and your family live? Nisaidie mie mgeni kdogo mjini hapa.:caked:
Mmezoea ndoa Za mateso .Africa ndoa ni mateso na uvumilivu.Najiona nina bahati sana nina mume ananipenda na ananiweka no moja .Ndio maana nimeolewa na mzungu mateso na mapenzi siwezi .sio Siri uvumilivu wa ndoa Za kiafrika siwezi kabisa ningekufa na stroke au depression.kila mtu ana choice yake ila siwezi ubumilivu kabisaaaaaa.wanangu wanajua ata kelele sipendi .I like clea n neat organized house .sipendi vurugu wala wageni wasio na Faida.Ndio maana sijaolewa na mwafrika maana ningeshaachika kitambo.I like happiness and peace all the time na mume wangu anajua hayo .Ugomvi sipendi kabisa nipo tayari nivunge ndoa.my health is very important kwa wanangu stress Za ndugu wa mume hazinihusu .Kila mtu Ana choice yake na akili yake .Nikiamka asubuhi nawaza wanangu sina Muda na watoto wa watu .100 percent wanangu wanapata wanachotaka hapa duniani .
 
Last edited by a moderator:
Nina rafiki yangu hajakaa hata mwezi Kwenye ndoa mama mkwe kahamia na wajukuu wa Tatu .rafiki
Yangu kanipigia simu analia kwa uchungu baada ya kumuuliza mume wake kwa nini wanahamia akasema yeye ni first born .Wewe ungefanyaje ?

Hapa ndipo wadada wa kichagga walipojikwaa(ila wenyewe hawajafahamu bado).....i gues ......wewe ni mmojawapo......

But....maisha yanabadilika sana.....hao mnaowaona wanahangaika kiasi hicho,ni umasikini...najua wasingekuja kuishi pale permanently,

By the way,Kila mtu ana roho yake bana,......

Hebu soma signature yangu hapo chini....Naamini kuna kitu utajifunza wewe na huyo mwenzio...

The Magnificient...
 
Ndugu zangu tujitahidini kuwapa watoto malezi yalo mazuri,tusitangulize sana kutafuta pesa huku tukiacha watoto wakipotea,tutenge mda wa kutosha kukaa nao,MAISHA NI ZAIDI YA UTAJIRI.
 
Natalia namfananisha na samuel jackson kwenye filamu ya django unchained, ana mawazo ya kitumwa kuona wazungu na watu wenye pesa ndo kila kitu,
 
Last edited by a moderator:
Mkuu huyu dada hata asikuumize kichwa, yote anayoandika hapa huwa anabuni tu...nishawahi kusema hapo awali kuwa nina wasiwasi sana na aina ya ubongo alionao.

Hapo Kwenye RED hapo...Mbona Kingereza chako ni VERY BROKEN???
Ha ha ha...Unajifanya wa Kishua..Kingereza chenyewe hata kwa sisi tulio Bongo tusio na Wazazi wenye Masters kama wewe tunajua kuliko wewe..ACHA KUJIAIBISHA..ONGEA TU KISWAHILI UTAELEWEKA.
 
Back
Top Bottom