Kuepusha stress za ndoa, do not marry a first born... Responsibility kibao!

Natalia

JF-Expert Member
Jul 3, 2011
4,324
1,892
Nina rafiki yangu hajakaa hata mwezi Kwenye ndoa mama mkwe kahamia na wajukuu wa Tatu .rafiki
Yangu kanipigia simu analia kwa uchungu baada ya kumuuliza mume wake kwa nini wanahamia akasema yeye ni first born .Wewe ungefanyaje ?
 
Nina rafiki yangu hajakaa hata mwezi Kwenye ndoa mama mkwe kahamia na wajukuu wa Tatu .rafiki
Yangu kanipigia simu analia kwa uchungu baada ya kumuuliza mume wake kwa nini wanahamia akasema yeye ni first born .Wewe ungefanyaje ?

uchungu wa rafiki yako unaweza kuzidi uchungu wa huyu mama mkwe kumzaa kijana wake? ukizingatia kijana ni first born so hata uchungu wake ni mnene zaidi. mwambie rafiki yako aachane kabisa na hawa wanaume wa kwanza kuzaliwa
 
uchungu wa rafiki yako unaweza kuzidi uchungu wa huyu mama mkwe kumzaa kijana wake? ukizingatia kijana ni first born so hata uchungu wake ni mnene zaidi. mwambie rafiki yako aachane kabisa na hawa wanaume wa kwanza kuzaliwa
Kabla hawajaoana angemmwambia .sasa inabidi amuache huyo mume maana umaskini ndio
Unapoanza
 
Laiti angejua kuwa mama ana umuhimu gani, basi anagetamani awe anam'beba mgongoni masaa 24.
Tupunguze uzungu jamani kumbukeni maisha mliyolelewa tangu mkiwa wadogo.
Nimemwambia atupe vitu vyao nje .mume mwenyewe mshahara million 2 shillings jamani .extended family Noma
 
Inategemea. Kuna mwingne ameolewa mume wake wa mwisho. Cku ya kwanza wanaenda kutambulishana ma mkwe anamwambia bi dada ''nenden na mtoto mkamtafutie shule englsh midium asome!'' Huyo mtoto baba yk yupo hai na ni mfanyakaz ictoshe ma mkwe mwalim na mtoto anasoma hapo anapofundsha. Bidada na mwenzie ndo kwanza wako chuo kikuu wanasoma. Walivyooana ndo utacheka upasuke. Bidada anaambiwa ''inabid uje uish hapa kijijin na mumeo mi nastaf mwakan naenda dar kwa mume wangu'' (mumewe anafanya kaz huko). ''Af hi nyumba itabid mjenge ingine hi haifai!'' ( ndo kwanza wanasubiria ajira mishe za town za mmewe ndo znawaweka mjin) Mumewe kwao wanaume wapo wengi na waliotangulia wote wapo kazin. Bidada kachoka hana hamu lkn ndo kashayavulia nguo maji yabd aoge 2.
 
Then unawezaje kutoa ushauri wa namna hiyo?
Nimesema tangu mwanzo tuweke uzungu pembeni, tuishi kiafrika zaidi.
Familia zetu ni extended si jambo la kushangaza.
Alafu muwe na imani japo kidogo jamani, unapomsaidia mtu hata Mungu naye hukuangalia na hukuongezea riziki.
No mercy to marriage problems .Kumtafutia shida mtoto
Wa watu .
 
No mercy to marriage problems .Kumtafutia shida mtoto
Wa watu .
marriage problems? kuna problems lakini sio kama hizo.
Mbali na kiuchumi hao wageni wana effects gani katika hiyo ndoa?
Wamesababisha mume kuwa mzinzi au kutokuwa mwaminifu, kuwa jeuri? kutomsikiliza mkewe? etc?
 
wazazi wanathaman sn kuliko ki2 chochote. Aish nae kwa amani na upendo na roho safi wala hataona mzigo. Angekua ndo mama ake angechukia?
Generation yetu wazazi wetu wanepesa.kama umezaliwa 70's Wazazi lazima wanauwezo bwanaaa
 
marriage problems? kuna problems lakini sio kama hizo.
Mbali na kiuchumi hao wageni wana effects gani katika hiyo ndoa?
Wamesababisha mume kuwa mzinzi au kutokuwa mwaminifu, kuwa jeuri? kutomsikiliza mkewe? etc?
Kahamia permanent.wajukuu washaanza shule
 
Back
Top Bottom