acha uongo ndoa haijamaliza mwezi tayari wanalipiwa nyumba?ana watoto?amekatiwa umeme, mke anachomwa moto? hii story ya mwaka gani?unajichanganya hicho kichwa kinamatatizo hata kama ni stiry ya kutunga hujatumia akili.Utajisikiaje kuletewa mama mkwe huna umeme chakula tabu na mpo USA.akinyang'anywa watoto na serikali je ? Mdada anapigwa kila siku jamani yaani wewe ungekaa tu.ana mchomaga Moto uko chini na wire wa Moto na mama mkwe anafurahia .ungekaa tu