Hapa ndio uwongo wako unajidhihirisha! Hii story ni fabricated, embu nijibu maswali yangu hapa chini:
1) Nafahamu kuingia USA kuna taratibu zake, hivi inakuwaje huyu mama mkwe aende tu na wajukuu bila taarifa kwa mke na mume? Ina maana mke hakufahamishwa ujio wa mama mkwe na wajukuu?
2) Kama walifahamishwa, kwa nini huyo rafiki yako anaanza kulalamika sasa? Hakujua tangu mwanzo kwamba familia inayokuja ni kubwa ?
3) Umesema jamaa analipwa milioni mbili, hizi ni TZS au ni US$? Kama ni TZS niki convert kwa dollar inakuwa ni approx US$ 1,250
. Kwa mshahara huu ndani ya USA mtu anaweza kualika na familia kubwa kama unavyotaka kutuaminisha hapa?
4) Kama vitu vyote hapo juu ni fiction, tukuamini vp kwa mengine unavyo jinasibu nayo?
Mmmmh story yako naona ina element nyingi za uwongo.
NB: wana JF wenzangu tuwe makini sana na watu aina ya Natalia, tusipoteze muda mwingi kuchangia story ambazo ni za kupika.
Kimtazamo nafikiri huyu ni binti aliye na stress kimaisha, na kuna aina ya maisha ana desire kuyaishi kutokana na kuwa brain washed kwamba the Muzungu is every thing in life. Yuko tayari hata kuondoa proud yake ya Uafrika ili mradi kumridhisha Mzungu atakayempata.
Uwe na familia ya watu7 ukae marekani .it cost a lot ingekuwa bongo sawa.umeme bill Yao unaambiwa 1000 kwa mwezi ,hapo bill Za vitu vingine kichwa kinamuuma na umeme wanekatiwa ni ngumu kwa kweli