Kuepusha stress za ndoa, do not marry a first born... Responsibility kibao!

Kuepusha stress za ndoa, do not marry a first born... Responsibility kibao!

Kwa hiyo unajaribu kusema first borns hawatakiwi kupata wenza??maana wasipopata wenza nao wataenda kuishi kwa wadogo zao waliooa na kuongeza idadi ya wategemezi..uache kukimbia matatizo,tafuta namna ya kupambana nayo..halafu mfano wako mmoja hauwezi ku-generalize whole situation.
 
Good night everybody .Tomorrow is Super Bowl enjoy the game .Dont forget to eat chicken wings ( orange )
 
Hapa ndipo ninapogombana sana na wanawake yaani wewe unamuoma mama mtu siyo wa muhimu kwa mwanaye. Umemkuta hapo alipo unajua ametokea wapi? Ndo kwanza unavisiku vichache kwake na unajifanya ndo mwenyewe, kwa hiyo unataka mama akakae njiani awe ombaomba ilhali ana watoto ebu jiweke kwenye hiyo nafasi wewe yaani uassume kwamba huyo mumeo sasa hayupo na umebaki na watoto tu utafanya nini? Kama vip mwambie huyo rafiki yako adai talaka aondoke aache ujinga na umbea. Yaani hataki kuishi na mama mkwe utafikiri anahofia kuchangia mme kweli baadhi ya wanawake ni hopeless.
 
Kwa hiyo unajaribu kusema first borns hawatakiwi kupata wenza??maana wasipopata wenza nao wataenda kuishi kwa wadogo zao waliooa na kuongeza idadi ya wategemezi..uache kukimbia matatizo,tafuta namna ya kupambana nayo..halafu mfano wako mmoja hauwezi ku-generalize whole situation.
Mume wake ndio alimjibu kuwa yeye ni first born
.huyu mama Ana nyumba kafunga nyumba kuhamia kwa mwanae
 
Huyu ni mpumbavu,ana tafuta wapumbavu wenzake wenye
akili kama zake.

kama huwapendi wazazi wako ni wewe peke yako,wenzako wana
kumbuka amriya Mungu isemayo "Honour thy father and mother
that thy days be long in the land which the Lord gives thee
."
 
Kaka sikiliza wewe Umeoa mwezi ushamleta mama ako na 3 wajikuu.kabla ya watu hao kuhamia nyumba tabu kulipa kodi .huwezi lipa kodi bila kuwaza mafuta ya gari tabu .haya mizigo hiyo

Shetwani mkubwa wewe.
 
Kaka uniite any names ila kwelikweli unaweza hudumia watoto wa kaka ako na wakwako wamerudishwa shule hawana Ada .kaka ake mume wake anakazi,.wanaishi kwa Mshahara wa million 3 tu .nyumba million mbili,shule secondary watoto wawili bei .Wazazi wake rafiki yangu ndio wanawapa pesa ya kula .na mama mkwe wake ana watoto 6 lakini anataka first born.wazazi wake rafiki yangu wameshamwambia Umeoa au umeolewa.hiyo nyumba wanayokaa wazazi wa mwanamke wanailipia.

We ni mgonjwa sana,kuna maisha una yatamani sana,ila unayapata kwa kuyaandika mtandaoni.
Unatamani sana kuikamata milioni,ila una farijika kwa kuiandika mtandaoni maana huwezi ikamata.

Watu kama nyie hamstahili hata kuwa JF
Nimemwambia atupe vitu vyao nje .mume mwenyewe mshahara million 2 shillings jamani .extended family Noma
 
Kabla hawajaoana angemmwambia .sasa inabidi amuache huyo mume maana umaskini ndio
Unapoanza

Yaani Natalia hapo kazi ipo manake kama wanaishi huko ughaibuni ukiweka rent, bills za gas na umeme, insurance halafu bado kilisha chakula unless hao wajukuu wnasaidia kuleta chochote kitu..... Kama ni huku kwetu mgombani watakaa tu ila kiwalisha na kuwavesha kazi ipo..., mungu asaidie.
 
Last edited by a moderator:
Mmezoea ndoa Za mateso .Africa ndoa ni mateso na uvumilivu.Najiona nina bahati sana nina mume ananipenda na ananiweka no moja .Ndio maana nimeolewa na mzungu mateso na mapenzi siwezi .sio Siri uvumilivu wa ndoa Za kiafrika siwezi kabisa ningekufa na stroke au depression.kila mtu ana choice yake ila siwezi ubumilivu kabisaaaaaa.wanangu wanajua ata kelele sipendi .I like clea n neat organized house .sipendi vurugu wala wageni wasio na Faida.Ndio maana sijaolewa na mwafrika maana ningeshaachika kitambo.I like happiness and peace all the time na mume wangu anajua hayo .Ugomvi sipendi kabisa nipo tayari nivunge ndoa.my health is very important kwa wanangu stress Za ndugu wa mume hazinihusu .Kila mtu Ana choice yake na akili yake .Nikiamka asubuhi nawaza wanangu sina Muda na watoto wa watu .100 percent wanangu wanapata wanachotaka hapa duniani .


Mmmmmh,una laana wewe
 
Nina rafiki yangu hajakaa hata mwezi Kwenye ndoa mama mkwe kahamia na wajukuu wa Tatu .rafiki
Yangu kanipigia simu analia kwa uchungu baada ya kumuuliza mume wake kwa nini wanahamia akasema yeye ni first born .Wewe ungefanyaje ?
that is totally untrue

it depends on many factors including familia unayooa au kuolewa
 
We ni mgonjwa sana,kuna maisha una yatamani sana,ila unayapata kwa kuyaandika mtandaoni.
Unatamani sana kuikamata milioni,ila una farijika kwa kuiandika mtandaoni maana huwezi ikamata.

Watu kama nyie hamstahili hata kuwa JF

Kidumu fikra Za mtu maskini kidumu .
 
Huyu ni mpumbavu,ana tafuta wapumbavu wenzake wenye
akili kama zake.

kama huwapendi wazazi wako ni wewe peke yako,wenzako wana
kumbuka amriya Mungu isemayo "Honour thy father and mother
that thy days be long in the land which the Lord gives thee
."
J

Live your life .ndio mimi shetani so what ?
 
Huyu ni mpumbavu,ana tafuta wapumbavu wenzake wenye
akili kama zake.

kama huwapendi wazazi wako ni wewe peke yako,wenzako wana
kumbuka amriya Mungu isemayo "Honour thy father and mother
that thy days be long in the land which the Lord gives thee
."
Thank you abuser
 
Nimemwambia atupe vitu vyao nje .mume mwenyewe mshahara million 2 shillings jamani .extended family Noma
Atupe vi2 vyao Nje!!!!!!!! We Natalia mama yako akitupiwa Vitu nje utajisikiaje!!!!

Acheni Roho Mbaya bwana..Kwani Mil 2 ndo nini,,chache au nyingi!!!! Mama Anauchungu na mwanawe kuliko hata nyie mliomjua huyo bro ukubwani
 
NATALIA UNA ROHO MBAYA..
KAMA HAKUNA MTU AMBAYE AMESHAWAHI KUKUAMBIA,MIMI LEO NAKUAMBIA...WEWE UNA ROHO MBAYA..

Acha kujifanya wakishua..Mi nakuona Mshamba tu Kuwatukuza Wazungu na kuwadharau waafrika ambao na wewe ni mmoja wao..
 
Back
Top Bottom