Nimekuelewa Sana Natalia...Nakubaliana na Wewe kuwa Maisha Huko ni Magumu sana...
Ila Ambacho Sikubaliani na wewe na Ambacho kinanifanya niamini kuwa wewe una roho ngumu tena mbaya ni KITENDO CHA KUSHAURI MAMA ATUPIWE VITU VYAKE NJE
Natalia,Did U think First before saying this????
Mama atupiwe Vitu Nje,na Mtoto Aliyemzaa na Kumnyonyesha! Mtoto Aliyenyea Mikono ya mama yake na Mama akafua nepi zenye Mikojo na Mavi???!!!!!
Hivi Siku Moja mama yako akitupiwa vitu Nje utajisikiaje?
Siku wewe Ukiwa Mzee au Mgonjwa,Ukaenda kwa Mwanao kwa Mfano...Mkweo Akakutupa Nje ya Nyumba..Utajisikiaje?
Maisha haya tunapita..Tuwaheshimu Wazazi..TUPO HAPA LEO KWA SABABU YA MALEZI MAGUMU WALIYOPITIA KATIKA KUTULEA..
Thanks,Nadhani Umenielewa