Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,690
- 1,293
Nimemwambia atupe vitu vyao nje .mume mwenyewe mshahara million 2 shillings jamani .extended family Noma
Du!! hao wanaokujaga kwako kwa ushauri wamekula hasara!!
Nimemwambia atupe vitu vyao nje .mume mwenyewe mshahara million 2 shillings jamani .extended family Noma
natalia again
Kaka sikiliza wewe Umeoa mwezi ushamleta mama ako na 3 wajikuu.kabla ya watu hao kuhamia nyumba tabu kulipa kodi .huwezi lipa kodi bila kuwaza mafuta ya gari tabu .haya mizigo hiyo
wazazi wanathaman sn kuliko ki2 chochote. Aish nae kwa amani na upendo na roho safi wala hataona mzigo. Angekua ndo mama ake angechukia?
Then unawezaje kutoa ushauri wa namna hiyo?
Nimesema tangu mwanzo tuweke uzungu pembeni, tuishi kiafrika zaidi.
Familia zetu ni extended si jambo la kushangaza.
Alafu muwe na imani japo kidogo jamani, unapomsaidia mtu hata Mungu naye hukuangalia na hukuongezea riziki.
Kawaida sana tu ukiwa na ndugu ni baraka mirija ya pesa itaelekezwa kwako
Utalipaje Ada ya shule ya ndugu zako na wakwako Hana ADAUmenena vema Dada Anita mungu akujalie roho ya imani na upendo hivyohivyo siku zote za maisha yako. Wanadamu wa siku hizi tunajali sana vitu kuliko utu, Natalia mshauri vizuri rafiki yako pasipo huyo mama huyo mme alienae angemwona wapi? Huyo rafiki yako anapenda tunda la nazi tu lkn mnazi wenye kutoa hilo tunda hautaki?
Hakikai hapo kwenye red hiyo ndo imefit kwa huyo mwanzisha mada. hakuna neno mbadala wa hilo.Ndibalema tuache kusingiuzia uzungu, natalia ana uzungu gani. Hii ni kuwa na choyo. Malezi mabovu. unamshaurije mwanamke mwenzio amtupie nje virago mama mkwe wake. Hivi Natalia umeongea ukimaanisha au?
Nina rafiki yangu hajakaa hata mwezi Kwenye ndoa mama mkwe kahamia na wajukuu wa Tatu .rafiki
Yangu kanipigia simu analia kwa uchungu baada ya kumuuliza mume wake kwa nini wanahamia akasema yeye ni first born .Wewe ungefanyaje ?
Wewe unaweza lipia Ada watoto wa ndugu zako na wakati wanao hawana Ada .nimeolewa na mzungu na ninandoa nzuri tu ila sipendi ujingaSio in my married ni in your marriage, we si bure umeolewa na muhindi, kingereza gani hicho hihii
Nilikuwa nadhani una busara kumbe sifuri tu.........
Hakikai hapo kwenye red hiyo ndo imefit kwa huyo mwanzisha mada. hakuna neno mbadala wa hilo.
Exactly, kulingana na coments zake anadhihirisha kabisa kuwa hayupo kwenye ndoa.Mi sidhani kama Natalia yuko kwenye ndoa, au unasemaje Ndibalema?
Mmezoea ndoa Za mateso .Africa ndoa ni mateso na uvumilivu.Najiona nina bahati sana nina mume ananipenda na ananiweka no moja .Ndio maana nimeolewa na mzungu mateso na mapenzi siwezi .sio Siri uvumilivu wa ndoa Za kiafrika siwezi kabisa ningekufa na stroke au depression.kila mtu ana choice yake ila siwezi ubumilivu kabisaaaaaa.wanangu wanajua ata kelele sipendi .I like clea n neat organized house .sipendi vurugu wala wageni wasio na Faida.Ndio maana sijaolewa na mwafrika maana ningeshaachika kitambo.I like happiness and peace all the time na mume wangu anajua hayo .Ugomvi sipendi kabisa nipo tayari nivunge ndoa.my health is very important kwa wanangu stress Za ndugu wa mume hazinihusu .Kila mtu Ana choice yake na akili yake .Nikiamka asubuhi nawaza wanangu sina Muda na watoto wa watu .100 percent wanangu wanapata wanachotaka hapa duniani .Exactly, kulingana na coments zake anadhihirisha kabisa kuwa hayupo kwenye ndoa.
Maybe bado yupo kwenye u'boyfriend na u'girlfriend tena sio serious relationship.
Mmezoea ndoa Za mateso .Africa ndoa ni mateso na uvumilivu.Najiona nina bahati sana nina mume ananipenda na ananiweka no moja .Ndio maana nimeolewa na mzungu mateso na mapenzi siwezi .sio Siri uvumilivu wa ndoa Za kiafrika siwezi kabisa ningekufa na stroke au depression.kila mtu ana choice yake ila siwezi ubumilivu kabisaaaaaa.wanangu wanajua ata kelele sipendi .I like clea n neat organized house .sipendi vurugu wala wageni wasio na Faida.Ndio maana sijaolewa na mwafrika maana ningeshaachika kitambo.I like happiness and peace all the time na mume wangu anajua hayo .Ugomvi sipendi kabisa nipo tayari nivunge ndoa.my health is very important kwa wanangu stress Za ndugu wa mume hazinihusu .Kila mtu Ana choice yake na akili yake .Nikiamka asubuhi nawaza wanangu sina Muda na watoto wa watu .100 percent wanangu wanapata wanachotaka hapa duniani .
Mi sidhani kama Natalia yuko kwenye ndoa, au unasemaje Ndibalema?
duuh dada angu,maneno yako yanasema kuwa we ni rimbukeni na huna maadili
na bila shaka hujaolewa