(Reuters) - Britain is banning all arrivals from Tanzania and Democratic Republic of Congo from Friday to stop the spread of the South Africa COVID-19 variant, transport secretary Grant Shapps said in a tweet on Thursday.
"All passengers from these countries except British & Irish Nationals and third country nationals with residents rights will be denied entry," Shapps wrote in his tweet.
==========
Wasafiri kutoka Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo watazuiwa kuingia Uingereza kwenye harakati za kujaribu kuzuia kirusi kipya cha Covid-19 kutoka Afrika ya Kusini.
Lakini marufuku hiyo itakayoanza Ijumaa saa 10 usiku haitawahusu raia wa Uingereza na Irish na wote wenye haki za makazi nchini Uingereza wanaorudi nchini humo, alisema katibu mkuu wa usafiri, Grant Shapps.
Hii imekuja baada ya mshauri mkuu wa kisayansi nchini Uingereza, Sir Patrick Vallance kuonya chanjo ambayo kwa sasa inatolewa inaweza kuwa haina nguvu sana dhini ya kirusi kutoka Afrika ya Kusini.
Kirusi tofauti cha Covid kinachojulikana kama 501Y.V2 kina uwezekano wa kusambaa haraka zaidi kwa asilimia 50 zaidi ya mwanzo.
Soma > UK bans passengers from Tanzania, Democratic Republic of Congo to control spread of COVID variant
"All passengers from these countries except British & Irish Nationals and third country nationals with residents rights will be denied entry," Shapps wrote in his tweet.
==========
Wasafiri kutoka Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo watazuiwa kuingia Uingereza kwenye harakati za kujaribu kuzuia kirusi kipya cha Covid-19 kutoka Afrika ya Kusini.
Lakini marufuku hiyo itakayoanza Ijumaa saa 10 usiku haitawahusu raia wa Uingereza na Irish na wote wenye haki za makazi nchini Uingereza wanaorudi nchini humo, alisema katibu mkuu wa usafiri, Grant Shapps.
Hii imekuja baada ya mshauri mkuu wa kisayansi nchini Uingereza, Sir Patrick Vallance kuonya chanjo ambayo kwa sasa inatolewa inaweza kuwa haina nguvu sana dhini ya kirusi kutoka Afrika ya Kusini.
Kirusi tofauti cha Covid kinachojulikana kama 501Y.V2 kina uwezekano wa kusambaa haraka zaidi kwa asilimia 50 zaidi ya mwanzo.
Soma > UK bans passengers from Tanzania, Democratic Republic of Congo to control spread of COVID variant