4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,979
- 6,784
KWA hili SERIKALI imekwama Sana, KWA Hili hatufiki mbali, tukitaka kujifanya tunaweza kila kitu na hatupangiwi hata kwenye afya za watu ,the gov is too long
Suluhisho ni chanjo na hadi sasa hamna chanjo ya uhakika. Usidhani una akili nyingi kuliko wengine. Ningependa nimalizie tu, sikubaliani na Serikali kudai hamna Korona ni bora waseme ipo lakini hamna lock down.We need a unified world to tackle Corona. If necessary the world "superpowers" should get rid of stupid ones making a barrier to these efforts!
Kama kawaida yako upuuzi umekujaa. Rudi kwenu Burundi utuachie Tanzania yetu. Nyie mirundi mnatuletea migongano mingi mfano Zitto, sheikh ponda etc
Si lazima kuwa na total lockdown lakini ni muhimu kuzuia mikusanyimo ya watu, kama inabidi wakusanyike wawe na barakoa pia kunawa mikono kila mara.
Naona mnaanza kulegeza msimamo, si mlikuwa mnalilia lockdown nyie..Si lazima kuwa na total lockdown lakini ni muhimu kuzuia mikusanyimo ya watu, kama inabidi wakusanyike wawe na barakoa pia kunawa mikono kila mara.
Unauliza jibu. Inasema waTz wote kasoro raia. Uwe umepima au haujapimaFake news, vipi kama mtu umepimwa na huna hicho kirusi hewa?
Mungu ni wa ajabu, immune ya watoto wa shule Ina uwezo mkubwa wa kupambana na COVID. Wasiwasi mkubwa ni kwa wenye kisukari, wanene na wazee wa 70+Sky Eclat ni kweli tahadhari ni bora kuliko tiba.
Ila mimi nikiwaza hawa watoto wetu wadogo mashuleni huko, naendelea kumtanguliza Mungu kwakweli
Sisi wenyewe hatuwezi
Si lazima kuwa na total lockdown lakini ni muhimu kuzuia mikusanyimo ya watu, kama inabidi wakusanyike wawe na barakoa pia kunawa mikono kila mara.
Mungu ni wa ajabu, immune ya watoto wa shule Ina uwezo mkubwa wa kupambana na COVID. Wasiwasi mkubwa ni kwa wenye kisukari, wanene na wazee wa 70+
Unaelewa mantiki yake? Uwe na Corona au usiwe nayo huruhusiwi, na hapo hapo wanazuia sababu ya Corona, logic ni vikwazo kwa mgongo wa Corona kisa wamenyimwa vitala vya uchimbaji madiniUnauliza jibu. Inasema waTz wote kasoro raia. Uwe umepima au haujapima
Sio Tanzania pekee ndio imewekwa kwenye kizuizi hichi, nchi zote za Kusini mwa Africa kwa sasa hawawezi kwenda UK kama hawana kibali maalum.Na sisi kama tuna ubavu tupige marufuku raia wa Uingereza kuingia humu nchini wakati tunategemea watalii kupata fedha za kigeni.
Kuna nchi zingine zitaiga hatua hii ya UK na mwisho wa siku tutajikuta tumetengwa.
Jiwe kavurunda sana kwenye issue ya Covid.
Wave ya kwanza ya COVID dunia nzima iliuwa kwenye tafrani, hata Ulaya supermarket zilifunguliwa kwa masaa na foleni ilikua ndefu. Baada ya utafiti na kuona madhara ya uchumi. Wave ya pili imekuwa na ahueni.Naona mnaaza kulegeza msimamo, si mlikuwa malilia lockdown nyie..
Mbona na yeye havai barakoa. Tupigeni nyunguYule balozi wao aliyeambiwa na jiwe awaonye wale wengine badala yake naye kawa mshirika wa kutufungia mlango?
Kama shere dunia kweli imetupata.
Twachezwa shere kila upande.