Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo, ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unastahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza, wakati sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu, Wayahudi wenyewe hawamkubali Yesu, na wameukataa kabisa Ukristo.

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Wewe kuwa mkisto unataka ulazimishe watu wote waamini ktk ukristo wako? Dini ya Mayaudi hawanaamini ktk kristo kwanini unataka wamwamini Yesu? Ni imani ya madhebu ya kikiristo tu wanaomwani Yesu siyo dini nyinginezo.
 
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo, ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unastahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza, wakati sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu, Wayahudi wenyewe hawamkubali Yesu, na wameukataa kabisa Ukristo.

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Kuhusu Tulia hujakatazwa kumwamini na ukiona uchawa wako hautoshi unaruhusiwa kumwabudu na kumshujudu wewe na familia yako.
 
Hapana
Waislamu hatumuabudu Mtume MOHAMMAD (S.A.W) bali Tunamuabudu MWENYEZIMUNGU (S.W) muumba Ardhi ,Mbingu na vyote vilivyomo duniani ikiwemo sisi wanaadamu yaan hata MOHAMMAD (S.A.W) mpaka na nabii ISSA (A.S) ambaye ni Yesu

Na waislamu tunamtii MOHAMMAD (S.A.W) kwakuwa ndie Mtume wetu ambaye aliletwa na MWENYEZIMUNGU (S.W) kutufundisha yalomema na kutukataza mabaya ,na Mtume huyu MOHAMMAD (S.A.W) aliletwa baada ya nabii ISSA (A.S) [Yesu].

NB : MWENYEZIMUNGU NI MMOJA TU.
HAKUZAA WALA HAKUZALIWA
HANA MSHIRIKA NA WALA HANA MFANO WA KITU CHOCHOTE KILE

(MWENYEZIMUNGU mwenyewe anajua zaidi)
 
Tofautisha Dini na Mungu.si kila fundisho la kanisa fulani au dini fulani limetoka kwa Mungu.kuna ufalme wa Mungu na kuna dini.Mungu ameichagua Israel.yeye ndiye anayejua sababu.lakini kwa harakaharaka Mungu kuichagua Israel ni mpango wa wokovu wa Mwanadamu.na unaposema Israel imemkataa Yesu unajichanganya.Kuna wafuasi wa kristo wengi tu huko Israel
 
Wewe kuwa mkisto unataka ulazimishe watu wote waamini ktk ukristo wako? Dini ya Mayaudi hawanaamini ktk kristo kwanini unataka wamwamini Yesu? Ni imani ya madhebu ya kikiristo tu wanaomwani Yesu siyo dini nyinginezo.
Na wewe huna jibu sahihi
 
Acha upotoshaji, Waisrael ni wasabato kwahiyo wasabato wanampiga Yesu? hayo ni maneno ya mtaani.

Sio kweli wayahudi sio wasabato.

Wasabato wanamuamini yesu kristo na wanamuabudu. Na wanaamini yesu kristo atarudi kwa mara ya pili.

Wayahudi hawamuamini yesu kristo. Wanamuona yesu ni tapeli tu. Na wayahudi ndio walimuua yesu msalabani

Wasababato wanaamini ndoa ni mke mmoja

Wayahudi hawaamini kama ndoa ni mke mmoja

Wasabato wanasali kanisani

Wayahudi hawasali kanisani. Wanasali kwenye sinagogi
 
Wazungu na waarabu wanatuambia watu wetu wakifa washakufa na siokitu tena.waacheni kuhani makaburi maana mnaabudu mizimu.

Matokeo yake wanakuja kutushawishi kuwaabudu maria, yesu, muhamad. Hawa oote ni wameshatangulia mbele za haki lakini tunalazimishwa kuwaabudu. Hii nisawa na kutushawishi tuache mizimu yetu tuabudu mizimu yao ambayo haituhusu kabisa.
Mtu mweusi wa sasa ukimuuliza babu wa babayake jina lake nani hajui. Ila ukimuuliza kizazi cha akina maria na muhamad anakutajia hadi vitukuu.
Ndio maana mtu mweusi hatokaa kuendelea. Huwezi kila siku kuumiza kichwa kutunza kumbukumbu za uzao wa mtu asiekuhusu hata rangi yake yamwili tu.
Inafikirisha sana hii
 
Si mwanadamu amesema ,ni Mungu amesema. Wewe uliye udongo tu unamuuliza mfinyanzi? Usiniambie Mungu, kama wanakosea atawaadhibu yeye mwenyewe siyo Wewe.
Changamoto kubwa kuliko yote kwa wanadamu ni kufahamu Mungu ni nini.
Kwa sababu ya kutokujua ambako huzalisha woga, wanadamu wamepotoshwa na kutokuijua kweli (Mungu) iwawekayo huru.
 
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo, ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unastahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza, wakati sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu, Wayahudi wenyewe hawamkubali Yesu, na wameukataa kabisa Ukristo.

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
hakuna taifa la Mungu huo ni uongo mbaya sana,kwani Mungu ni mbaguzi,kwamba anapenda wapalestina waangamizwe?natanyahahu hawezi kuwamaliza hamas,watangilizi wake wote walishindwa
 
Sio kweli wayahudi sio wasabato.

Wasabato wanamuamini yesu kristo na wanamuabudu. Na wanaamini yesu kristo atarudi kwa mara ya pili.

Wayahudi hawamuamini yesu kristo. Wanamuona yesu ni tapeli tu. Na wayahudi ndio walimuua yesu msalabani

Wasababato wanaamini ndoa ni mke mmoja

Wayahudi hawaamini kama ndoa ni mke mmoja

Wasabato wanasali kanisani

Wayahudi hawasali kanisani. Wanasali kwenye sinagogi
Urudi shule
 
Ukristo sio dini kwa maana ya mfumo alioufundisha Yesu. Yesu mwenyewe hakuwa Mkristo, neno Masihi lililo tafsiriwa na Wagiriki Wazungu na kulipa jina Kristo ambalo wanafunzi wa Yesu walipofika Antokia, Uturuki ya leo walitaniwa kwa kufanyiwa mzaha na Wagiriki haohao kwamba hawa ni Wakristo.

Wagiriki walipowaona wanafunzi wa Yesu na hasa imani yao kuhusu ni nani Mungu, waliwafananisha wa waumini wa dini za bara Hindi. Wakati huo Wagiriki walikuwa wapagani, wakawaita kwa dharau wanafunzi wa Paulo waliokutana mjini Antokia kwamba hawa ni Wakristo, Wagiriki walipo batizwa wakalichukua jina hilo na kutafsiri cheo cha Yesu Masihi, hivyo sehemu ya Masihi wakaweka Kristo.

Ni wazi mpaka Yesu anaondoka hakujifahamu kwamba yeye ni Kristo, japo alijua kwamba baada ya yeye kuondoka watatokea watu wapinzani watakao mwita Kristo, wakimfananisha na miungu inayoabudiwa bara Hindi, Yesu alionya akakataza. Hivyo katika Biblia sehemu zote zilizo andikwa jina Kristo neno halisi ni Masihi ambalo maana yake ni mpakwa mafuta. Mpakwa mafuta sio dini Bali ni cheo cha Yesu.

Hata hivyo Biblia inakiri kwamba kabla ya Yesu Mungu aliwainu watu wengi na kuwapaka mafuta. Hivyo iwapo utatumia neno Masihi kuwa Kristo utauna walikuwepo akina Kisto wengi kabla ya Yesu.

Yesu akiwa mjini Jerusalemu hakufindisha dini inayoitwa Ukristo, miaka 14 baada ya kuondoka Paulo ambaye hakuwa mwanafunzi wa Yesu wala wawili hao hawakuwahi kuonana, alipojaribu kutaka kufundisha dini mpya mbele ya Wanafunzi wa Yesu Jerusalemu, alipopata upinzani aliona bora aende kwa watu wa mataifa. Biblia inakiri kwamba watu wa mwanzo kuitwa Wakristo, waliitwa hivyo Uturuki katika eneo la Antokia.

Mfumo wa dini aliouasisi Paulo nchini Uturuki, ukachukua mengi kutoka kwa watu wa mataifa, na ukajitenga na mafundisho mengi ambayo Yesu aliyafundisha ambayo Wanafunzi wake waliyasoma. Ukiangalia katika Biblia namna Yesu alivyofundisha somo kuhusu Mungu ni nani, na namna Paulo alivyofundisha katika somo hilo utaona tofauti kubwa, angalia pia katika somo la sala, sheria na kadhalika.

Ni wazi Yesu alizaliwa ndani ya dini ya Kiyahudi, lakini yeye hakuwa mfuasi wa dini ya Kiyahudi, kwa sababu Musa hakufindisha dini ya Kiyahudi ambayo Yesu anaakiri katika Biblia kuwa alikuja kuipa nguvu. Dini ya Kiyahudi inapata jina hilo kutoka kwa Yuda ambaye ni mmoja kati ya watoto 12 na wa mzee Yakobo. Ukisema wewe ni Myahudi maana yake wewe ni mfuasi wa Yuda, lakini Yuda hakuwa nabii wala mtume wa Mungu.

Kuna tofauti kubwa kiimani kati ya Wayahudi na Wazayuni japo wote wanajiita Wayahudi. Wazayuni ni vuguvugu la kisiasa ambalo mpaka mwaka 1948 walisaidiwa kijeshi na Wazungu kuwafukuza wenyeji PALESTINA, na kuanzisha nchi inayoitwa Israel. Wazayuni wanafuata siasa na utamaduni wa magaharibi.

Mwaka 2023 nchi hiyo inayoungwa mkono na madola makubwa yenye kumiliki uchumi wa dunia, inapigana na kikundi cha wanaharakati wa Hamasi, ambao sio hawana dola tu, lakini hawana jeshi.

Wadadisi wanaamini kwamba Wazayuni ndio wanaomiliki vyombo vikubwa vya habari duniani, pamoja na mashiriki ya kimataifa yanayosimamia sheria, uchumi na siasa. Wanatajwa kuwa ndio waasisi wa freemason, wanaohimiza ushoga na kupinga sheria zote za Mungu. Hawa ndio walioendesha kampeni ya kuwaua manabii wa Mungu, rejea kisa cha kifo cha Yohana mbatizaji na baba yake Zakaria, hawa ndio walifanya mipango mingi ili kumuua Yesu. mpaka leo wanaamini kuwa Yesu sio Masihi aliyeahidiwa na Mungu kuja, na katika utawala wao wametengeneza sheria baadhi ya maeneo nchini Israel ukimtaja Yesu ni kosa kisheria.

Swali ambalo watu wengi wanajiuliza, nchi iliyoanzishwa na watu hawa, ndio nchi teule ya Mungu?
 
Hapana
Waislamu hatumuabudu Mtume Mohammad (s.a.w) bali Tunamuabudu Mwenyezimungu (s.w) muumba Ardhi ,Mbingu na vyote vilivyomo duniani ikiwemo sisi wanaadamu yaan hata Mohammad (s.a.w) mpaka na nabii Issa (a.s) ambaye ni yesu

Na waislamu tunamtii Mohammad (s.a.w) kwakuwa ndie Mtume wetu ambaye aliletwa na Mwenyezimungu (s.w) kutufundisha yalomema na kutukataza mabaya ,na Mtume huyu Mohammad (s.a.w) aliletwa baada ya nabii Issa (a.s) [yesu].

NB : MWENYEZIMUNGU NI MMOJA TU.
HAKUZAA WALA HAKUZALIWA
HANA MSHIRIKA NA WALA HANA MFANO WA KITU CHOCHOTE KILE

(Mwenyezimungu mwenyewe anajua zaidi)
Swala la imani ni very complex na ndio maana serikali zinazojitambua huwaachia wananchi wao waamini kile wanachopenda kuamini japo ndani ya uzio wa sheria.

Ndio maana hata huko Kenya kuna watu waliamini kwamba Jehova Wanyonyi alikuwa ni Mungu na serikali ya Kenya haikuhangaika nao katu.

Ndio maana yeyote yule unayemuona kwamba ni mtume wako mwingine anaweza akamuona kama tapeli fulani tu hivi na usimfanye chochote kwa sababu tu ya uhuru wa kuamini.

Hivyo kila mtu yuko sahihi na imani yake. Anayesema Yesu ni Mungu yuko sahihi kwa mujibu wa imani yake na anayepinga hilo hana cha kumfanya na hata anayeabudu ng'ombe naye yuko sahihi kisheria, huwezi kumfanya chochote kwa imani yake.

Hivyo kila moja aamini kadri apendavyo japo siku ya hukumu Mungu yeye hata angalia eti wewe ulikua dini gani na ndipo watu watachoka ile mbaya.
 
Swala la imani ni very complex na ndio maana serikali zinazojitambua huwaachia wananchi wao waamini kile wanachopenda kuamini japo ndani ya uzio wa sheria.

Ndio maana hata huko Kenya kuna watu waliamini kwamba Jehova Wanyonyi alikuwa ni Mungu na serikali ya Kenya haikuhangaika nao katu.

Ndio maana yeyote yule unayemuona kwamba ni mtume wako mwingine anaweza akamuona kama tapeli fulani tu hivi na usimfanye chochote kwa sababu tu ya uhuru wa kuamini.

Hivyo kila mtu yuko sahihi na imani yake. Anayesema Yesu ni Mungu yuko sahihi kwa mujibu wa imani yake na anayepinga hilo hana cha kumfanya na hata anayeabudu ng'ombe naye yuko sahihi kisheria, huwezi kumfanya chochote kwa imani yake.

Hivyo kila moja aamini kadri apendavyo japo siku ya hukumu Mungu yeye hata angalia eti wewe ulikua dini gani na ndipo watu watachoka ile mbaya.
Sisi waislamu kila kitu kuhusu maisha ya dunia na akhera vyote vimeandikwa katika kitabu chetu (QUR AN) .
Ndio maana hatuna shaka kwakuwa kila muislamu anatambua yakuwa mwisho wa dunia ni Siku ya Qiyama (Siku hii yenye uzito ndani yake ambamo mengi kuhusu hii Siku yalishaandikwa katika Quran na hakuna wa kuizuia isipokuwa yeye ALLAH (S.W) [MWENYEZIMUNGU].
Siruhusiwi na hakuna muislamu anaeruhusiwa kumlazimisha asiye muislamu juu ya uislamu kama kumlazimisha mtu kusilimu (kuwa muislamu). [Allah anajua zaidi]

Hivyo basi ni ombi tu ndugu yangu, nakukaribisha kukisoma kitabu chetu (QUR AN) naimani utafahamu mengi zaidi
 
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo, ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unastahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza, wakati sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu, Wayahudi wenyewe hawamkubali Yesu, na wameukataa kabisa Ukristo.

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Unayesema na kuamini Israel ni taifa la Mungu hujui maandiko. Ndo wale bendera fuata upepo.

Hapo mwanzo hapakuwa na Israel. Kulikuwa na mataifa mengine lkn Israel haikuwepo.

Israel inaanza kunikia baada ya Ibrahim kutokewa na Mungu na kupewa ahadi ya kupewa nchi na uzao wake kuzidi sana.

Ibrahim akamzaa Isaka, Isaka akamzaa Yacob ambaye alizaa wanamme 12 ndiyo kabila kumi na mbili za Israel. Ahadi ya Ibrahim, ikafikiwa na uzao wa Yakobo ambaye ndiye aliitwa Israel na mwanzilishi wa taifa linaitwa Israel.

Yakobo/Israel alichaguliwa na Mungu mwenyewe ili kutimiza ahadi ya Mungu kwa Ibrahim babu yake.

Hata hivyo wana wa Israel yaani vitukuu, vilembwe na vizazi vilivyofuatia, vilikataa kutawaliwa na Mungu, wakataka wafalme wa kibinadamu kama yalivyokuwa mataifa jirani. Wakapewa Saul, Daud, Suleiman na ufalme wa Israel ukavunjikia kwenye uzao wa Suleiman.

Mungu alichukuzwa akawatawanya wakasambaa dunia nzima. Wakawa chini ya utumwa wa kirumi na mataifa mengine ya uajem etc.

Baadae akaja Yesu, wakamkataa, hawakumkubali, Yesu akawageukia mataifa, wakamkubli ndiyo sisi. Waisrael walimkataa ili kutimiza unabii tu, hawakuwa na namna. Yesu alikuja ili kuukomboa ulimwengu wote toka utawala wa shetan, utawala wa dhambi.

Taifa la Mungu kwa sasa siyo la hapa duniani lenye miliki ya ardhi nk, hapana, ila taifa la Mungu ni wale wote waliokubali kuishi kwa kufuata kanuni za Yesu Kristo.

Mapigano ya waisrael si ya Mungu bali ni yao wenyewe wakidai ardhi yao na miji yao. Mungu hahusiki hata kidogo. Ukiokoka, unakuwa mkristo na raia halali wa taifa teule la Mungu yaani wakristo. Ninaposema wakristo usikimbilie hayo madhehebu yenu, bali ni watu waliokataa madhehebu wakamfuata Yesu Kristo 1kor 1:10-13
 
Sisi waislamu kila kitu kuhusu maisha ya dunia na akhera vyote vimeandikwa katika kitabu chetu (QUR AN) .
Ndio maana hatuna shaka kwakuwa kila muislamu anatambua yakuwa mwisho wa dunia ni Siku ya Qiyama (Siku hii yenye uzito ndani yake ambamo mengi kuhusu hii Siku yalishaandikwa katika Quran na hakuna wa kuizuia isipokuwa yeye ALLAH (S.W) [MWENYEZIMUNGU].
Siruhusiwi na hakuna muislamu anaeruhusiwa kumlazimisha asiye muislamu juu ya uislamu kama kumlazimisha mtu kusilimu (kuwa muislamu). [Allah anajua zaidi]

Hivyo basi ni ombi tu ndugu yangu, nakukaribisha kukisoma kitabu chetu (QUR AN) naimani utafahamu mengi zaidi
I'm very sorry, I don't think if I've time to read those collection of myths because I believe in logic so my mind has no room for accommodating religious dogmas.
 
Back
Top Bottom