Kuchelewa kwa Mishahara ya watumishi wa umma mwezi October 2012

Nimeongea na jamaa zangu wawili watatu hivi, wamenambia hadi jioni ya leo boom lilikuwa bado!
 
nmeamini kweli hamjlalipwa coz mawazo yenu yanaonesha hlo.mtoa maada alisema kwamba yeye hajalipwa na co ofisi yao na ndio maana nkasema kwa nn asiwaulize anaofanya nao kaz.nadahn aligundua baade hlo akaja akasema kua idara nzima haijapata kitu ambacho mwanzo hakusema.imekua kawaida sna kwa watu wa jf ishu yoyote ikimkuta bila hata kushirikisha akili anakuja kuimwaga hapa na ndio maana huwa matusi hayakauki.
.........ww ndio mvivu wa kufikiri, mbona anaeleweka tu huyu jamaa.....
 
tatzo letu cku hizi watu wa jf tumekua wavivu wa kuwaza na kuwazua na hata kuchukua hatua...ina maana km unafanya kaz ktk ofisi ya umma unataka kuniambia uko peke yko hapo ofisin?kwann ucwaulize unaofanya nao kaz,by the way umesema ww ndio haujapata na co ofisi nzima.cku hizi hata mtu akibanwa na ushuz anauliza jf jins ya kujamba....mi nadhan kwa namna moja au nyingine tunashindwa kuutumia huu mtandao vizur..
Kweli kabisa mkuu, hapo umenena. Maswali mengine ni kero-kama hili: mke wangu anajamba sana usiku
 
tatzo letu cku hizi watu wa jf tumekua wavivu wa kuwaza na kuwazua na hata kuchukua hatua...ina maana km unafanya kaz ktk ofisi ya umma unataka kuniambia uko peke yko hapo ofisin?kwann ucwaulize unaofanya nao kaz,by the way umesema ww ndio haujapata na co ofisi nzima.cku hizi hata mtu akibanwa na ushuz anauliza jf jins ya kujamba....mi nadhan kwa namna moja au nyingine tunashindwa kuutumia huu mtandao vizur..

'unsound mind'
 
Ile kada yenye matatizo lukuki serikali imewaongezea 30% ya mazingira magumu so hongereni japo kazi bado mnayo...so tegemeeni mishahara mipya kuanzia J5 this wk....teh teh eh
 
Ile kada yenye matatizo lukuki serikali imewaongezea 30% ya mazingira magumu so hongereni japo kazi bado mnayo...so tegemeeni mishahara mipya kuanzia J5 this wk....teh teh eh

Wewe jamaa usitake kusababisha wenzio waongeze madeni kwa Mangi, hehehe
 
Wilaya ya bagamoyo,anapotoka rais na wazir mkuu ni wa mwisho kupokea mishahara ya walimu hadi leo badojaman mpoapo.
 
Serikali ilisema kila tarehe 25 ya kila mwezi mshahara utakuwa tayali lakini sasa imekuwa ni kawaida mshahara kutoka tarehe 5 ya kila mwezi unaofuata....ukiuliza wahasibu tatizo wanakuambia eti kuna-program inaitwa epicor 9 ndio tatizo.

Ila kwa ufatiliaji wa karibu sababu kuu ni....kutolipwa kwa posho toka mwaka huu wa fedha uanze na ukizingatia kazi nyingi za kitaifa zinafanyika usiku kucha
 
mkuu mbona kitu ni kile kile? mshahara kutoka kila Tarehe tano ya mwezi na kutoka kila tarehe 25 ya mwezi tofauti iko wapi? hata kama ungekuwa unatoka kila tarehe 20 ya mmwezi bado ni mwezi mzima umeisha,

Ok tatizo lingine ni kwamba Wafanya kazi hata wa Serikalini hawana Umoja na wengi wana tegemea Dill za wizi so hata mishahara ikichelewa mwaka mzima huwezi waona wakiandamana,Ila kama kila Mfanyakazi angekuwa anategema mshahara kingeisha eleweka, Chukulia mfano wa MATRAFIK wao hata wasipo lipwa mshahara miaka 30 kwao hakuna shida kabisa

Cheki nchi kama South africa, kule ndo wafanyakazi wanajua wajibu wao, huku bongo wafanyakazi wamebakia kulalamikia kwenye mitandao ya kijamii, ukiwaambia tushuke mabarabarani hawataki wanabakia kisimama pembeni ya barabara kuangalia wenzao wenye uchungu wakiandamana.

Cheki hata ishu ya FAO LA KUJITOA, wanao piga kelele ni wafanyakazi wa MIGODI PEKEE wengine waote kimya ila ukiwakuta kwenye vijiwe vya kahawa na maeneo ya Draft wanalalamika kweli na wengine wanalalamikia face book na humu janvini, wakati wafanya kazi wa migodi wanalalamika Live,

Na kuna kila dalili fao litarudishwa kwa wafanya kazi wa MIGODI PEKEE make ndo wanaonekana kupaza sauti zao wengine wanasubiria watafuniwe wao wameze
 
Kwani chaguzi za ndani zimekwisha? Tuwe wavumilivu kidogo maana mahitaji ya fwedha yameongezeka kwa dharula hii ukizingatia bunge nalo limeanza.
 
Back
Top Bottom