Kuchelewa kwa Mishahara ya watumishi wa umma mwezi October 2012

Mkuu upo serious? So tutarajie kwenye tarehe ngapi labda?

Hiyo ni habari ya kweli kabisa. Itategemeana na ofisi yako kama itawasilisha makabrasha mapema Hazina yatashughulikiwa mapema. Kama kuna wazembe na wacheleweshaji basi ndio mkaze buti
 
mishahara kwa wafanyakazi wengi wa serikali na mashirika ya umaa itatoka tarehe 3 mwezi wa kumi na moja.
 
Pole Mwalimu cha msingi ushauri wa bure kuwa mbunifu usitegemee mshahara pekee na hasa kwa kada hii ambayo haina income nyingine out of salary! Bado salary hata kwetu pia! Pole saaana Mwl
 
Hiyo ni habari ya kweli kabisa. Itategemeana na ofisi yako kama itawasilisha makabrasha mapema Hazina yatashughulikiwa mapema. Kama kuna wazembe na wacheleweshaji basi ndio mkaze buti

Sasa mbona unanichanganya Happy?Which is which,sasa hata kama ofisi italeta taarifa mapema kama hazina kuna matatizo watazishughulikiaje wakati tatizo bado lipo hapo hazina?
 
Hapa pana hoja ya msingi sana ni vizuri wanajamvi kwa nia ya kujenga tuwe pamoja: mwezi wa 12 mishahara huwa inawahi sana hilo hailihitaji kuwa na elimu ya chuo kikuu kulijua,tena hata ofisi za serikali huwa zinapambwa na maua kana kwamba wote ni wa imani moja.kwa nini sikukuu za Kislam huwa zinachukuliwa kiwepesi?
 
Sasa mbona unanichanganya Happy?Which is which,sasa hata kama ofisi italeta taarifa mapema kama hazina kuna matatizo watazishughulikiaje wakati tatizo bado lipo hapo hazina?

Ni hivi Ite, ofisi zote za serikali hupeleka makabrasha kwa ajili ya mishahara mapema kabla ya tarehe 15 kila mwezi. Mwezi huu kumetokea matatizo na Hazina wameomba yatumwe makabrasha mengine kwa mara ya pili. Hivyo kama ofisi yako ikiwa zembe kuwasilisha kwa mara ya pili hayo makabrasha, mtachelewa zaidi kupata mshahara. Sijui kama umenielewa, kwa bahati mbaya sina wito wa kuwa mwalimu.
 
nimeskia mikoa yenye waislamu wengi salary imetoka leo jioni,hapo inamanisha nini?
 
nami nimegundua hicho hapo kunakaubaguzi fulani hivi,mbona sikukuu za kikristo hasa chrismas mshahara mapema kila mwaka na kila sekta,mm ni mwislaamu linaniuma sana hili jambo na ndio maana siku hizi kuna utata kwenye dini

Ha ha ha ha !!! Lakini Rais wako ni Muislam!!! Katibu wa Wizara ya fedha naye ni muislam (ndiye mtendaji mkuu wa Wizara) naye hakuwahisha? Jamani mambo mengine mnazushia udini tu? Kwa nini tusiwaze mbali kuwa nyingi zimepelekwa kugharimia hongo za changuzi zinazoendelea? Si umesikia mwenyewe mwenyekiti akisema wazi kuhusu Rushwa? Zile hela za Rushwa kwa taarifa wanapewa hasa yule anayetakiwa awe ndo kiongozi kama Sofia Simba vile!!! Kwani kumdondosha Sumaye ilikuwa kazi ndogo? Tutafidia miezi mitatu mishahara kuchelewa!!! Na christmas juu!!
 
Akili mbovu udini umekukaa endelea kusota p.i.m.bi wewe!

kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! nani asote usilolijua ni sawa.....*.#&.*......!!! ila we mmmmmmbayaaaaaaa wewe! hata elimu yako inaonekana ndogo na ubongo wako umeathirika na ulafi wako wa kula ovyo itabidi ukapime muhimbili huo ubongo mana unaishi tofauti na wenzio,kichwa cha mwendawazimu,mpe high huyo uliyelala naye
 
Pole Mwalimu cha msingi ushauri wa bure kuwa mbunifu usitegemee mshahara pekee na hasa kwa kada hii ambayo haina income nyingine out of salary! Bado salary hata kwetu pia! Pole saaana Mwl

kazi umbea tu nani kakwambia bado,labda kwenu mkurugenzi wenu kawapiga changa la macho wenzenu tunakula bata huku
 
Mishahara ni tayari imeshawekwa.. Hapa nimeshatoa kiasi ila jaribu ulizia watu wa huko sumbawanga kwani kunakuwaga na tofauti
 
kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! nani asote usilolijua ni sawa.....*.#&.*......!!! ila we mmmmmmbayaaaaaaa wewe! hata elimu yako inaonekana ndogo na ubongo wako umeathirika na ulafi wako wa kula ovyo itabidi ukapime muhimbili huo ubongo mana unaishi tofauti na wenzio,kichwa cha mwendawazimu,mpe high huyo uliyelala naye
Pole sana kwa frustration za mshahara!
 
ahsante! pia pole na wewe kwa stress unazopata kuhusu mpenzi wako au mkeo,ni bora ninayewaza mshahara ila sio kama stress zako kwa mkeo
 
Hapa pana hoja ya msingi sana ni vizuri wanajamvi kwa nia ya kujenga tuwe pamoja: mwezi wa 12 mishahara huwa inawahi sana hilo hailihitaji kuwa na elimu ya chuo kikuu kulijua,tena hata ofisi za serikali huwa zinapambwa na maua kana kwamba wote ni wa imani moja.kwa nini sikukuu za Kislam huwa zinachukuliwa kiwepesi?
mi huwa nafikiri sikukuu nyingi za kiislam zinategemea kuandama kwa mwezi (ila sio zote)

Dec ni mwisho wa mwaka (Tunafunga hesabu) so tunatakiwa tupate pesa tukajiburudishe.

dec wafanyakaz wengi huchukua likizo (hata waislam) km mapumziko.
 
Back
Top Bottom