mathcom
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,396
- 518
Miye Bosi wangu ni dini nyingine hawezi kunipa mshahara wala posho ila ingekuwa ile sikukuu nyingine angenipa tena mapema tu, ujanja nilioufanya nimebakiza baadhi ya vihela vyangu ili nile ubwabwa mchafu 'Chakula cha Peponi'.
Hapa sijakuelewa!! kwani watakao jaaliwa kuingia peponi watakula ubwabwa mchafu ! huu msamiati si bora!