kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,315
- 12,614
Bunge limepitisha mswada uliopelekwa bungeni na serikali kufanya mabadiliko ya katiba kwenye kipengele cha tume ya uchanguzi.
Sasa kwa sheria mpya iliyopitishwa na bunge wakurugenzi wa wilaya na mamea wataacha kuwa wasimamizi wa uchaguzi moja kwa moja kutokana na nafasi zao wilayani. Badala yake wasimamizi wa uchaguzi watatokana na watumishi wa umma; yaani walioajiliwa na serikali inayotawala na inayowalipa mishahara Yao na kuwapandisha vyeo (wako kwenye kanzidata ya serikali na payroll yao) tu.
Kama sheria inabagua raia wake kati ya watumishi wa umma na wasio watumishi wa umma sheria hiyo ni batiri, inatakiwa kuangaliwa upya. Watumishi wa umma ni kundi dogo sana dhidi ya kundi kubwa la wasiokuwa watumishi wa umma. Na Kuna watu wengi wenye sifa za kuwa watumishi wa umma lakini hawakupata nafasi ya kupata ajira kwenye utumishi wa umma. Na Kuna watu waadilifu na weledi walioko nje ya utumishi wa umma ambao wangeweza kufanya kazi kwenye tume ya uchanguzi vizuri sana kuliko walioko kwenye utumishi wa umma.
Sheria hii itizamwe upya.
Sasa kwa sheria mpya iliyopitishwa na bunge wakurugenzi wa wilaya na mamea wataacha kuwa wasimamizi wa uchaguzi moja kwa moja kutokana na nafasi zao wilayani. Badala yake wasimamizi wa uchaguzi watatokana na watumishi wa umma; yaani walioajiliwa na serikali inayotawala na inayowalipa mishahara Yao na kuwapandisha vyeo (wako kwenye kanzidata ya serikali na payroll yao) tu.
Kama sheria inabagua raia wake kati ya watumishi wa umma na wasio watumishi wa umma sheria hiyo ni batiri, inatakiwa kuangaliwa upya. Watumishi wa umma ni kundi dogo sana dhidi ya kundi kubwa la wasiokuwa watumishi wa umma. Na Kuna watu wengi wenye sifa za kuwa watumishi wa umma lakini hawakupata nafasi ya kupata ajira kwenye utumishi wa umma. Na Kuna watu waadilifu na weledi walioko nje ya utumishi wa umma ambao wangeweza kufanya kazi kwenye tume ya uchanguzi vizuri sana kuliko walioko kwenye utumishi wa umma.
Sheria hii itizamwe upya.