The Listener
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 993
- 213
Wameamua kuisingizia system huko HAZINA. Kuna kila dalili kuwa ndizo zimetumika katika chaguzi ambazo sijawahi ona rushwa ikizitawala toka nizaliwe. Inawezekanaje tatizo la mishahara liwe la miezi miwili kabla ya uchaguzi wao!!!!! Ama kweli sisi tu wazalendo asilia