Mwajiliwa ni nn?
kama haukui maana ya mwajiliwa unadai mshahara kwa ccm wa nini?
Mwalimu una mbwembwe wewe, au unataka kuwa sauti yao.
Nape uko wapi unavuliwa nguo huku?
Mpaka leo tar4 hatuoni mishahara,,mmeipeleka wap nyie watu?.....kweli watanzania kaz tunayo
gazeti la mwanahalisi lilikuwa linatusaidia sana aise,lingelipua kesho yake tunapata!
Nape yuko wapi?
Serikali ya chama cha mapinduzi (ccm) lipeni mishahara kwa wakati,msifanye tuamini kuwa ndiyoiliyotumika kama takrima UVCCM,UWT na JUMUIYA YA WAZAZI
Na bado mpaka tuheshimiane hapa mjini,si mnaona dili kuajiliwa serikalini? CCM tobikoooooo!