yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
tatzo letu cku hizi watu wa jf tumekua wavivu wa kuwaza na kuwazua na hata kuchukua hatua...ina maana km unafanya kaz ktk ofisi ya umma unataka kuniambia uko peke yko hapo ofisin?kwann ucwaulize unaofanya nao kaz,by the way umesema ww ndio haujapata na co ofisi nzima.cku hizi hata mtu akibanwa na ushuz anauliza jf jins ya kujamba....mi nadhan kwa namna moja au nyingine tunashindwa kuutumia huu mtandao vizur..