Kucha ndefu ni uchafu

Kucha ndefu ni uchafu

Ivi walio na kucha ndefu za mikononi mnafanyaje usafi, inakula vipi, pia nani kawaambia mnapendeza mkiwa na mikucha mirefu kama mashetani ya kwenye movie za kinigeria.

Cha ajabu kwa kizazi hiki hadi wanaume wanamikucha mirefu..

Binafsi msichana msafi ni pamoja na kukata kucha,
Ndio maana harufu ya ferry na prawns zimetawala,wanadai ukitia kidole unapata kansa,kuna siku binti mzuri alivua pichu salaaale,nikadhani yuko period kumbe ni uchafu wa papuchi tu!utafikiri kajinyea,lakini ukimtizama aaaaah,macream yamejaa kwenye pichu kama mayonnaise!
 
Waambie inaoshwaje si unayo?nawe unauliza swali tena?toa darsa mkuu


Papuchi inaoshwa kwa madoido. ufundi na ustadi
Uchafu wa papuchi hausababishwi na kucha hata!! Kuna wala kucha wenye papuchi chafuuu
 
Papuchi inaoshwa kwa madoido. ufundi na ustadi
Uchafu wa papuchi hausababishwi na kucha hata!! Kuna wala kucha wenye papuchi chafuuu
kwa hyo kucha hazina uhusiano na kuosha papuchi?unaweza kuwa na makucha marefuuuu na papuchi ikawa safi?haya wenye nazo njooni huku mtuhabarishe?
 
kwa hyo kucha hazina uhusiano na kuosha papuchi?unaweza kuwa na makucha marefuuuu na papuchi ikawa safi?haya wenye nazo njooni huku mtuhabarishe?


Hizo ndefu kama za shetani sizijui ila urefu huu wa kawaida papuchi inaosheka vizuri sana!
 
Kiafaya haitakiwi kuingiza kitu chochote kwenye papuchi zaidi ya uume, k kwa kawaida hujisafisha yenyewe inatakiwa kuoshwa juu na kujimwagia huko maji mengi tu ya baridi na sio kujichokonoa huko na kucha
Hayo ndo mambo wanayotudanganya madaktari eti mara usiingize vidole mara usioshe na sabuni,,,hivi imagine upo period kweli usioshe papuchi na sabuni mumeo kitandani patalalika?au umeolewa na kila siku mnafanya mapenzi na mumeo bila condom na anakojolea ndani alafu hauingizi vidole kusafisha hizo shahawa unaziacha zikae tu humo ndani hadi zitoke zenyewe unajua harufu ambayo huwa zinatoa zikilala humo ndani ya papuchi?mambo mengine ni kujiongeza tu maana hata usipojiingiza vidole kujisafisha kama kansa utapata hata kwa kuvaa pedi,,Mungu ndo anatulinda maana hao hao madaktari wanaosema tusiingize vidole wengine wanapata hizo kansa.
 
moja ya urembo ninaovutiwa nao kwa mwanamke ni kucha ndefu..cha msing ziwe safi na ni natural sio ile ya kubandika..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom