Kucha ndefu ni uchafu

Kucha ndefu ni uchafu

me hata chakula kilichopikwa na mwanamke mwenye mikucha mirefu sili.
 
Kucha ndefu wala sio uchafu,suala kubwa ni matunzo tu
Binafsi ninazo ndefuu na ni safi 24/7
huwa unajichamba vipi sasa,au wewe huwa hunyi mwenzetu na kusafisha papuchi huwa unasafishaje?
inabidi utoe darasa kwa wananchi ndugu
 
du juz tu nmetoka kumwambia mchepuko ukate kucha zake..cha ajabu kanijibu eti sio uchafu bali uremboo..
 
Ivi walio na kucha ndefu za mikononi mnafanyaje usafi, inakula vipi, pia nani kawaambia mnapendeza mkiwa na mikucha mirefu kama mashetani ya kwenye movie za kinigeria.

Cha ajabu kwa kizazi hiki hadi wanaume wanamikucha mirefu..

Binafsi msichana msafi ni pamoja na kukata kucha,

Ulijuaje shetani ana kucha ndefu?

Kaandika mikucha mirefu kama mashetani ya kwenye movies za kinigeria

Obviously kaona shetani wa kwenye movie

Ulikuwepo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom