muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,981
- 15,027
Kwani una kucha ndefu?,niajiri mimi nifanye hiyo kazi..bila malipo..nimejitolea.Kwa hiyo wewe unaingizaga kidole?
Kwani una kucha ndefu?,niajiri mimi nifanye hiyo kazi..bila malipo..nimejitolea.Kwa hiyo wewe unaingizaga kidole?
Naosha kama nafuaUnaoshaje?!
KinyeoUngetuwekea picha ya hicho kinya mkuu wengine hatujui kinya ndo nini
Sidhani kama mtu anaweza kuwa na makucha kama hayaDuh! Huu si urembo hata chembe! Kucha ndefu kiasi hiki za miguuni za nini!? Hata za mikononi zikiwa ndefu kupita kiasi ni uchafu.
Mhmmhmhmhmhmhmhmhmhmhmh
hazipendezi hata kidogo, wanawake wastarabu wore m dunia wanakata kucha, kubali tuu kucha ndefu ni uchafuHata kwenye kumhudumia mtoto kucha ndefu ni hatari au ndo habari ya housegirl???
Anyway kucha ndefu binafsi naona zinapendeza ila sasa zinahitaji umakini sana
Kucha ndefu ni kipimo kipi kwaniNa wewe una kucha ndefu mkuu?
Ulidhani nina kucha/vidole kama tangawizi???na wewe unakucha ndefu? Dunia imeisha
Na ile mikucha ya bandia je huwekagiUkweli mtupu mi cwez kabsa kufuga kucha nkiona mtu anafuga namshangaa tu
Wenye mikucha mirefu michafu tayar wamekuja sasa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwani papuchi inaoshwa kama unaparua samaki?
Hujisikiagi vibaya ukiingia toilet wakati ukitoa inye ña ikabaki baki kwenye kucha ashiiiiiii kinyaaaaaKucha ndefu wala sio uchafu,suala kubwa ni matunzo tu
Binafsi ninazo ndefuu na ni safi 24/7
hazipendezi hata kidogo, wanawake wastarabu wore m dunia wanakata kucha, kubali tuu kucha ndefu ni uchafu