Kucha ndefu ni uchafu

Kucha ndefu ni uchafu

Kiafaya haitakiwi kuingiza kitu chochote kwenye papuchi zaidi ya uume, k kwa kawaida hujisafisha yenyewe inatakiwa kuoshwa juu na kujimwagia huko maji mengi tu ya baridi na sio kujichokonoa huko na kucha
 
Ivi walio na kucha ndefu za mikononi mnafanyaje usafi, inakula vipi, pia nani kawaambia mnapendeza mkiwa na mikucha mirefu kama mashetani ya kwenye movie za kinigeria.

Cha ajabu kwa kizazi hiki hadi wanaume wanamikucha mirefu..

Binafsi msichana msafi ni pamoja na kukata kucha,
Kucha ndefu wala sio uchafu,suala kubwa ni matunzo tu
Binafsi ninazo ndefuu na ni safi 24/7
 
Ivi walio na kucha ndefu za mikononi mnafanyaje usafi, inakula vipi, pia nani kawaambia mnapendeza mkiwa na mikucha mirefu kama mashetani ya kwenye movie za kinigeria.

Cha ajabu kwa kizazi hiki hadi wanaume wanamikucha mirefu..

Binafsi msichana msafi ni pamoja na kukata kucha,
Ukweli kabisa makucha ni uchafu
Unapikaje unafuaje unaoshaje vyombo?
Vingine vinipite tuu
 
Ulijuaje shetani ana kucha ndefu?
likes.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom