Kucha ndefu ni uchafu

Kucha ndefu ni uchafu

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,262
Reaction score
18,711
Ivi walio na kucha ndefu za mikononi mnafanyaje usafi, mnakula vipi, mnafua vipi, pia nani kawaambia mnapendeza mkiwa na mikucha mirefu kama mashetani ya kwenye movie za kinigeria.?

Cha ajabu kwa kizazi hiki hadi wanaume wanamikucha mirefu..

Binafsi msichana msafi ni pamoja na kukata kucha,
 
Ivi walio na kucha ndefu za mikononi mnafanyaje usafi, inakula vipi, pia nani kawaambia mnapendeza mkiwa na mikucha mirefu kama mashetani ya kwenye movie za kinigeria.

Cha ajabu kwa kizazi hiki hadi wanaume wanamikucha mirefu..

Binafsi msichana msafi ni pamoja na kukata kucha,
tapatalk_1490011131451.jpeg
 
Ivi walio na kucha ndefu za mikononi mnafanyaje usafi, inakula vipi, pia nani kawaambia mnapendeza mkiwa na mikucha mirefu kama mashetani ya kwenye movie za kinigeria.

Cha ajabu kwa kizazi hiki hadi wanaume wanamikucha mirefu..

Binafsi msichana msafi ni pamoja na kukata kucha,
You said it all, kuiga kwingi na mara nyingine tunaiga mashetani bila kujijua.

Ohooo God have mercy on us
 
Ukweli lakini kucha ndefu zinapendeza sana lakini zinahitaji extra usafi ili zisibaki na uchafu.

Kila nikiona mdada na kucha ndefu huwa najiuliza sijui wanapigaje deki kwa bibi na hizo kucha.
 
d
Ukweli lakini kucha ndefu zinapendeza sana lakini zinahitaji extra usafi ili zisibaki na uchafu.

Kila nikiona mdada na kucha ndefu huwa najiuliza sijui wanapigaje deki kwa bibi na hizo kucha.
uuh kumekucha
 
duuh nimecheka sana ndg eti malalamiko ya harufu za panya ndio maana hayaishi humu jamvini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom