Mimi ni mwanamke na sipendi kucha ndefuuu lakini mtu akiwa nazo naona sawa tu sababu ni urembo anaoupenda,wapo wasio na kucha ni wachafu na hawajishughulishi na wapo wenye ndefu wanakuwa tofauti.
Halafu wanaume hebu jifunzeni kuheshimu maamuzi wa wanawake naona mnawapangia kila kitu arrrgghhh MNACHOSHA mbona sisi hatuwapangii.
Pilipili usiyoila yakuwashia nini(Mtu humlishi wala kumhudumia kwa lolote lakini anakushughulisha),piga kazi mhudumie umpendae afu umpangie cha kufanya.
Halafu wanaume hebu jifunzeni kuheshimu maamuzi wa wanawake naona mnawapangia kila kitu arrrgghhh MNACHOSHA mbona sisi hatuwapangii.
Pilipili usiyoila yakuwashia nini(Mtu humlishi wala kumhudumia kwa lolote lakini anakushughulisha),piga kazi mhudumie umpendae afu umpangie cha kufanya.