Gily Gru JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 9,082 Reaction score 25,070 Jul 8, 2025 #141 Mshana Jr said: Halafu hakuna raha kama kula kuku na mayai yake.. Unaangalia tu uanze na kipi😂 Click to expand... Ahaha 🤣 Zamani ulikuwa ukiwatembelea Wageningen, unapeleka zawadi. Na ukitoka ugenini unatoka na zawadi. Yan hata kama sio mfugo, ukiwatembelea unakuta wana miti ya matunda. Ukienda na mapapai, unarudi na maembe, raha sana.
Mshana Jr said: Halafu hakuna raha kama kula kuku na mayai yake.. Unaangalia tu uanze na kipi😂 Click to expand... Ahaha 🤣 Zamani ulikuwa ukiwatembelea Wageningen, unapeleka zawadi. Na ukitoka ugenini unatoka na zawadi. Yan hata kama sio mfugo, ukiwatembelea unakuta wana miti ya matunda. Ukienda na mapapai, unarudi na maembe, raha sana.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 365,901 Reaction score 845,796 Jul 8, 2025 Thread starter #142 Marcy said: Kwenye zile harakati zako uliwahi kula zile nyama🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️ maana juu unasema unakula na visivyo liwa Click to expand... Maneno ya Mungu yanasema .. Tazama ya kale yamepita.. Na sasa yamekuwa mapya...✌🏿💪🏿😂
Marcy said: Kwenye zile harakati zako uliwahi kula zile nyama🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️ maana juu unasema unakula na visivyo liwa Click to expand... Maneno ya Mungu yanasema .. Tazama ya kale yamepita.. Na sasa yamekuwa mapya...✌🏿💪🏿😂
Marco Seth JF-Expert Member Joined Oct 21, 2022 Posts 5,015 Reaction score 6,234 Jul 8, 2025 #143 Njaa ishaanza Ngoja niikimbie 🏃♂️ hii thread
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 365,901 Reaction score 845,796 Jul 8, 2025 Thread starter #144 Nelly said: Ndege😂 Click to expand... Kwio🐓
100 others JF-Expert Member Joined Aug 5, 2017 Posts 9,178 Reaction score 32,795 Jul 8, 2025 #145 min -me said: Raha ya supu ya utumbo ni tule tumavi mavi , sio unaosha yanakua kama hayaView attachment 3398295 Click to expand... Usisahau na hii ukichinja mbuzi..
min -me said: Raha ya supu ya utumbo ni tule tumavi mavi , sio unaosha yanakua kama hayaView attachment 3398295 Click to expand... Usisahau na hii ukichinja mbuzi..
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 51,583 Reaction score 144,492 Jul 8, 2025 #146 100 others said: Click to expand... Haya ndio mambo sasa kuna yale ya mbuzi ukila ni kama keki kabisa.
100 others said: Click to expand... Haya ndio mambo sasa kuna yale ya mbuzi ukila ni kama keki kabisa.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 365,901 Reaction score 845,796 Jul 8, 2025 Thread starter #147 Gily Gru said: Pilau la maharagwe? Haha Nilishawah enda ukweni wamepika pilau, wanataka waweke maharage juu, na mchuzi wa bamia. Kuna watu wanajua kuharib ladha ya pilau kwel Click to expand... wanataka waweke maharage juu, na mchuzi wa bamia.🥺🥺🥺🥺😩😩😩
Gily Gru said: Pilau la maharagwe? Haha Nilishawah enda ukweni wamepika pilau, wanataka waweke maharage juu, na mchuzi wa bamia. Kuna watu wanajua kuharib ladha ya pilau kwel Click to expand... wanataka waweke maharage juu, na mchuzi wa bamia.🥺🥺🥺🥺😩😩😩
O OgaBoy JF-Expert Member Joined Aug 22, 2022 Posts 3,443 Reaction score 5,047 Jul 8, 2025 #148 Mshana Jr said: Au jicho👁👌🏿😂😁 Click to expand... Weeer, macho bhana
100 others JF-Expert Member Joined Aug 5, 2017 Posts 9,178 Reaction score 32,795 Jul 8, 2025 #149 min -me said: Haya ndio mambo sasa kuna yale ya mbuzi ukila ni kama keki kabisa. Click to expand... Hayo ni ya mbuzi.. nasikia kwamba yana kazi maalumu mwilini sijui ni kweli?
min -me said: Haya ndio mambo sasa kuna yale ya mbuzi ukila ni kama keki kabisa. Click to expand... Hayo ni ya mbuzi.. nasikia kwamba yana kazi maalumu mwilini sijui ni kweli?
O OgaBoy JF-Expert Member Joined Aug 22, 2022 Posts 3,443 Reaction score 5,047 Jul 8, 2025 #150 min -me said: Haya ndio mambo sasa kuna yale ya mbuzi ukila ni kama keki kabisa. Click to expand... Hahaha wapi nivamie
min -me said: Haya ndio mambo sasa kuna yale ya mbuzi ukila ni kama keki kabisa. Click to expand... Hahaha wapi nivamie
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 365,901 Reaction score 845,796 Jul 8, 2025 Thread starter #151 Poor Brain said: Mkuu sinywagi pombe labda konyagi Click to expand... Hata Mimi labda keupe na bitter lemon ya baridi sana mpaka inatoa jasho😋
Poor Brain said: Mkuu sinywagi pombe labda konyagi Click to expand... Hata Mimi labda keupe na bitter lemon ya baridi sana mpaka inatoa jasho😋
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 365,901 Reaction score 845,796 Jul 8, 2025 Thread starter #152 min -me said: Wachaga ukitutoa kwenye vyakula vya asili yetu ni weupe kinouma sema vyakula vyetu vitamu sana , ukishushia na bohora moja la mbege mambo yanakua poa😅 Click to expand...
min -me said: Wachaga ukitutoa kwenye vyakula vya asili yetu ni weupe kinouma sema vyakula vyetu vitamu sana , ukishushia na bohora moja la mbege mambo yanakua poa😅 Click to expand...
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 51,583 Reaction score 144,492 Jul 8, 2025 #153 100 others said: Hayo ni ya mbuzi.. nasikia kwamba yana kazi maalumu mwilini sijui ni kweli? Click to expand... Sijajua mkuuu ila haya nyumbani ni vidume tu ndio tulikuwa tunaruhusiwa kuyala🤔
100 others said: Hayo ni ya mbuzi.. nasikia kwamba yana kazi maalumu mwilini sijui ni kweli? Click to expand... Sijajua mkuuu ila haya nyumbani ni vidume tu ndio tulikuwa tunaruhusiwa kuyala🤔
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 51,583 Reaction score 144,492 Jul 8, 2025 #154 Mshana Jr said: View attachment 3398324 Click to expand... 😋😋😋😋😋
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 365,901 Reaction score 845,796 Jul 8, 2025 Thread starter #155 Marco Seth said: Njaa ishaanza Ngoja niikimbie 🏃♂️ hii thread Click to expand...
Gily Gru JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 9,082 Reaction score 25,070 Jul 8, 2025 #156 min -me said: Wachaga ukitutoa kwenye vyakula vya asili yetu ni weupe kinouma sema vyakula vyetu vitamu sana , ukishushia na bohora moja la mbege mambo yanakua poa😅 Click to expand... Huwa napika mbege home mwenyewe, mara ya mwisho ilipanda sana kuna kidumu kililipula ndani ya fridge. Ngararimo ndio sijawah pika, ila kiburu kinapikwa sana home na niliagiza magadi Rombo, ya huku hakiwi kitam kivile Hii ilikuw last year mbege
min -me said: Wachaga ukitutoa kwenye vyakula vya asili yetu ni weupe kinouma sema vyakula vyetu vitamu sana , ukishushia na bohora moja la mbege mambo yanakua poa😅 Click to expand... Huwa napika mbege home mwenyewe, mara ya mwisho ilipanda sana kuna kidumu kililipula ndani ya fridge. Ngararimo ndio sijawah pika, ila kiburu kinapikwa sana home na niliagiza magadi Rombo, ya huku hakiwi kitam kivile Hii ilikuw last year mbege
Gily Gru JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 9,082 Reaction score 25,070 Jul 8, 2025 #157 Mshana Jr said: View attachment 3398326 Click to expand... Yan nikiona mtu anapika kuku mchizi naona kama anaharibu, kuku huwa nachoma au nakaanga😀
Mshana Jr said: View attachment 3398326 Click to expand... Yan nikiona mtu anapika kuku mchizi naona kama anaharibu, kuku huwa nachoma au nakaanga😀
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 27,949 Reaction score 56,281 Jul 8, 2025 #158 Mshana Jr said: Hata Mimi labda keupe na bitter lemon ya baridi sana mpaka inatoa jasho😋View attachment 3398320 Click to expand... Duuuh pombe ni hatari kwa maini hasa ukinywa usiku...... 🤣🤣🤣🤣🤣 Jamaa akauliza maini yanajuaje kama huu ndo usiku
Mshana Jr said: Hata Mimi labda keupe na bitter lemon ya baridi sana mpaka inatoa jasho😋View attachment 3398320 Click to expand... Duuuh pombe ni hatari kwa maini hasa ukinywa usiku...... 🤣🤣🤣🤣🤣 Jamaa akauliza maini yanajuaje kama huu ndo usiku
O OgaBoy JF-Expert Member Joined Aug 22, 2022 Posts 3,443 Reaction score 5,047 Jul 8, 2025 #159 Mshana Jr said: View attachment 3398324 Click to expand... Mkuu hii mitaa ya wapi
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 365,901 Reaction score 845,796 Jul 8, 2025 Thread starter #160 100 others said: Usisahau na hii ukichinja mbuzi.. Click to expand... Full version