Kuanzia sasa sitatazama ITV

Kuanzia sasa sitatazama ITV

Kuanzia leo sitatazama ITV, nimegundua tv hii ni ya kikanda, mikutano ya ACT haionekani katika taarifa zao za habari.

Tulikuwa na mkutano kibaha na mwembe yanga, lkn mikutano hii haijaonekana katika taarifa zake za habari.

Si hivyo tu, tulikuwa na mikutano mikubwa Mbeya, Tabora, Kigoma, na Shinyanga, huenda huko kulikuwa mbali lakini hata wa mailimoja kibaha? Yaan hata hapa MwembeYanga?

Hichi chombo sio huru na kiko kwa mlengo mbaya, mlengo wa kutugawa watanzania. Ni ajabu mmliki wa chombo hichi kupigania uhuru wa habari ikiwa yeye mwenyewe hatoi uhuru kwa wanahabari wanaofanya katika vyombo vyake.

Njano5.
762845394
784845394

Yaani TV ya maana kama ITV iache kutangaza tukio la kihistoria la kutawazwa Mwinyikambi shujaa Dr Slaa wakatangaze mkutano wa wasaliti vibaraka wa CCM?

Come on!!!!!
 
Kuanzia leo sitatazama ITV, nimegundua tv hii ni ya kikanda, mikutano ya ACT-Wazalendo haionekani katika taarifa zao za habari.

Tulikuwa na mkutano Kibaha na Mwembe yanga, lkn mikutano hii haijaonekana katika taarifa zake za habari.

Si hivyo tu, tulikuwa na mikutano mikubwa Mbeya, Tabora, Kigoma, na Shinyanga, huenda huko kulikuwa mbali lakini hata wa Mailimoja Kibaha? Yaan hata hapa MwembeYanga?

Hichi chombo sio huru na kiko kwa mlengo mbaya, mlengo wa kutugawa watanzania. Ni ajabu mmliki wa chombo hichi kupigania uhuru wa habari ikiwa yeye mwenyewe hatoi uhuru kwa wanahabari wanaofanya katika vyombo vyake.

Njano5.
762845394
784845394

Wewe ndiye unataka kuminya uhuru wa habari yaani unawalazimisha ITV warushe mikutano yenu? Kwa mujibu wa maelezo yako itakuwa TV zingine za ccm kama tbc na star TV zilirusha nadhani hiyo inatosha.
 
Yaani TV ya maana kama ITV iache kutangaza tukio la kihistoria la kutawazwa Mwinyikambi shujaa Dr Slaa wakatangaze mkutano wa wasaliti vibaraka wa CCM?

Come on!!!!!

Eti bwana,hawa watu sijui vip! teh teh teh teh.
 
Wawatangaze nyie wabakaji wa demokrasia?hamkumbuki -------- alienda kwa jk kumchongea?
 
act mnashangaza kweli hivi habari kama yale majina ya watanzania walioficha pesa uswisi yaliyotolewa na zzk mfalme wa act mlitegemea yatangazwe na ITV, majina ya madereva tax wa India na vibaka wa huko? Account zimefunguliwa kabla hata ya nyerere kuzaliwa mwaka 1920 kweli ITV watangaze ----- huo? Nyie mmechanganyikiwa mnataka kuchanganya chombo makini cha habari
 
Ninge shangaa sana kama itv wangeonesha maigizo ya act na zitto !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wakitangaza mikutano ya CCM inatosha kwasababu ni baba yenu nyie watoto

Mkuu Umemaliza kabisa hawa wasaliti wajanjawajanja wanataka double share. Watia nia wa baba yao wanatangazwa kila siku na wao wanataka. Wakati kiongozi mkuu kila siku anawasifia hao Watia nia
 
Jadiri hoja unataka namimi nitafute hurama ya watanzania? Mbona ulichofanya wewe hujaonyesha!!!
Sijakuelewa hoja yako inalenga nini zaidi.Kwa kuwa unambeza mengi tuambie wewe umelifanyia nini taifa la Tanzania na watu wote wakakubali.
Ukijibu hoja hiyo nitaunganisha mawazo.kumbuka JF ni sehemu ya great thinkers na si kuja na umbea wa mtaani tu.
Jenga hoja!!!
 
Wachagga ni kuliko wadosi. Ulikuwa haujuwi hilo?

Ushamuona mchagga ananunuwa maji ya Uhai?
Idadi ya Waislam wanaoshinda na njaa kutwa nzima huku wakijiaminisha kua wamefunga ni wengi Sana, hawa ni wale ambao Jehanam wao watakua ndio KUNI wa hilo tanuri.
 
Kwani uliwalipa hela watangaze mkutano wenu, kama una shida na hao ACT wako ungeenda mwembe yanga

Halafu pale Zitto aligawa makaratasi,kama huyu jamaa angetaka habari angeenda tu mwembeyanga kuchukua yale makaratasi.
 
Itv wameshaonyesha kwamba wana mlengo gani hawa ni chadema damu usitarajie kupata habari za vyama vingine kwa uzito sawa na chadema
ITV KAMA TANZANIA DAIMA.
 
Kuanzia leo sitatazama ITV, nimegundua tv hii ni ya kikanda, mikutano ya ACT-Wazalendo haionekani katika taarifa zao za habari.

Tulikuwa na mkutano Kibaha na Mwembe yanga, lkn mikutano hii haijaonekana katika taarifa zake za habari.

Si hivyo tu, tulikuwa na mikutano mikubwa Mbeya, Tabora, Kigoma, na Shinyanga, huenda huko kulikuwa mbali lakini hata wa Mailimoja Kibaha? Yaan hata hapa MwembeYanga?

Hichi chombo sio huru na kiko kwa mlengo mbaya, mlengo wa kutugawa watanzania. Ni ajabu mmliki wa chombo hichi kupigania uhuru wa habari ikiwa yeye mwenyewe hatoi uhuru kwa wanahabari wanaofanya katika vyombo vyake.

Njano5.
762845394
784845394

mimi hapo huwa naangalia " mizengwe " , " miziki ya dansi hasa ile ya kongo " na " tamasha la michezo " tu ila takataka zingine huwaachia.
 
act ndiyo nini wewe? toa uharo wenu hapa!

Mimi nawauliza Bavicha tukitoa habari ya uzinduzi wa chama cha ACT ni habari gani ya ACT ilishawai kurushwa ITV ? ITV siku hizi hawatende haki kabisa kwenye kutoa habari kabisa hasa hawa watendei haki ACT....!
 
Back
Top Bottom