Kituo cha ITV wamekuwa waoga sana kuripoti habari za kisiasa

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
2,158
4,534
Wote tunakumbuka miaka ya 2008-2010 jinsi chombo kilivyo kuwa imara katika utoaji wa habari bila upendeleo wa chama chochote cha siasa mengi yaliibuliwa na viongozi wa upinzani

TBC nayo ilikuwa kwenye ubora wake kiasi chake chini ya mkurugenzi wake Tido mhando

Chombo hichi cha habari naona muelekeo wake hakina tena sifa ya kuwa super brand zamani ukitaka upate habari za siasa lazima usubiri saa mbili leo hii mpaka uingie mtandaoni ndio utaona habari za siasa hapa jamiiforum na channel za youtube vyombo vingine kimya

sakata hili la uuzwaji wa bandari kituo cha ITV wameamua kujitoa kabisa kuepuka lamama mikutano inafanyika huko kwenye kanda na majimbo lakini hutoona taarifa zozote zikitolewa wala hutoona taarifa ya kiongozi wa upinzani akihojiwa

Kutokuwa na smartphone kwa karne hii ni hasara kubwa sana tuwape maua yao forum hii ya jamiiforum na channel zingine za youtube jambo tv na zingine
 
Hawana muda wa kuripoti ujinga ujinga wa kina Lisu na wapuuzi wengine maana wanajua wapi wanakula,Sasa hao wapayukaji watawapa nini Cha maana
 
ITV ilikuwa na nguvu wakati Mzee Mengi akiwepo baada kufa ni kama aliondoka na ujasiri wake wa kuruhusu habari za upizani zisionekane
 
Siku hizi tuna streets media zinatupasha yanayotokea on time

Sent using Jamii Forums mobile app
vyombo vya habari vinamchango mkubwa sana katika kuleta mabadiliko nyanja mbalimbali itv ilikuwa inaleta hamasa kuifuatilia hasa kwenye mikutano hii ya kisiasa lazima wananchi tuwe tunajulishwa nini kinaendelea nimeimisi sana itv ile ya Marehemu Mengi

Niliwauliza watu watatu ambao hawana smartphone kuhusu bandari mmoja akaniambia amesikia habari hiyo kupitia dw ujerumani
Wawili wakaniambia habari za uuzwaji wa bandari wamezikia kutoka kwa jamaa wanaowafahamu ila kwenye vyombo vya habari hawajasikia jambo hilo

Hata hivyo sio mbaya kwa sisi ambao tumeamua kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia habari tunazipata kwa wakati kingine nimependa jambo hili limewafikia hata watumiaji wa tiktok youtube
 
Wote tunakumbuka miaka ya 2008-2010 jinsi chombo kilivyo kuwa imara katika utoaji wa habari bila upendeleo wa chama chochote cha siasa mengi yaliibuliwa na viongozi wa upinzani

TBC nayo ilikuwa kwenye ubora wake kiasi chake chini ya mkurugenzi wake Tido mhando

Chombo hichi cha habari naona muelekeo wake hakina tena sifa ya kuwa super brand zamani ukitaka upate habari za siasa lazima usubiri saa mbili leo hii mpaka uingie mtandaoni ndio utaona habari za siasa hapa jamiiforum na channel za youtube vyombo vingine kimya

sakata hili la uuzwaji wa bandari kituo cha ITV wameamua kujitoa kabisa kuepuka lamama mikutano inafanyika huko kwenye kanda na majimbo lakini hutoona taarifa zozote zikitolewa wala hutoona taarifa ya kiongozi wa upinzani akihojiwa

Kutokuwa na smartphone kwa karne hii ni hasara kubwa sana tuwape maua yao forum hii ya jamiiforum na channel zingine za youtube jambo tv na zingine
usiwapangie cha kutangaza, anzisheni chombo chenu. ITV ina heshima yake, hawawezi kutangaza ule ushombo wa Lissu. Yule ni kichaa anayetoa stress zake jukwaani. Lissu ana faida gani nchi hii zaidi ya kupotosha wanadamu wenzake km shetani. Mtu hana hata kibanda cha kuku, anazalisha nini zaidi ya kutumika na vibaraka wake wabeberu.
 
Tofautisha kati ya kuwa muoga na kuwa na akili; hao wana akili......wako kibusiness!!
 
Hawana muda wa kuripoti ujinga ujinga wa kina Lisu na wapuuzi wengine maana wanajua wapi wanakula,Sasa hao wapayukaji watawapa nini Cha maana
ila wanareport upumbavu wa ccm na viongozi wao uchwara waliosema lissu azomewe chato matokeo yake lissu akashangiliwa chato ni mpumbavu na mashoga pekee ndio yanaweza kuungana na majiz yaliyohongwa na warabu wa dpworld.
 
ila wanareport upumbavu wa ccm na viongozi wao uchwara waliosema lissu azomewe chato matokeo yake lissu akashangiliwa chato ni mpumbavu na mashoga pekee ndio yanaweza kuungana na majiz yaliyohongwa na warabu wa dpworld.
Wanaripoti maendelea
 
Back
Top Bottom