Kuanzia sasa sitatazama ITV

Kuanzia sasa sitatazama ITV

Mengi ni moja ya watu wanaoleta mgawanyiko wa watu Tanzania. Anajitahidi aonekane mwema ila siku zinavyozidi watu wanamshitukia.

Amekaa kimaslahi sana na biashara zake. Mwisho atakuwa anauwezo wa kutuamlia Watanzania.

Kaa chonjo!!

Kaa pembeni wwe msaliti na act yako
 
Sio kweli ITV wamerusha habari moja ya ATC wamerusha habari nyingine tatizo atc wanataka habari zao zirushwe sawa na ccm au cuf au chadema wakati kuna vyama avijawahi kupewa kipaumbele na vina mbunge sio habari zote za ccm chadema au cuf zinarushwa na ITV naomba uelewe

ITV wamerusha habari gani ukitoa hizo nilizo zisema?

Mimi ninacho ipendea jf halelewi mtu hapa kila mtu akileta ujinga anapewa hamsini zake na hizi ziwafikie ITV na wajirekebishe lasivyo watafunga biashara kwa kukosa watazamaji...
 
Dotto C. Rangimoto
Mkuu wa ACT Zitto alimchongea nwebye ITV kwa JK kama anataka kuisambaratisha serikali!

Adhabu ndiyo hiyo ehehehe
 
Last edited by a moderator:
Kwanini hawaoneshi habari za ACT? Kama wana hitaji pesa kurusha habari bora waseme...
Hii habari iwafikie na nime watumia email infor@itv.co.tz nasubiri wanijibu hututaki huu ujinga wa kubagua habari.....!


Kwa hoja yako hii ya kipumbav wala hawatakujibu na usitarajie I.T.V. kufunga kituo chake kwa kukosa watazamaji hata siku Moja...
 
Tulalamikie chombo chetu TBC tunachokilipia kodi zetu.
 
Dotto C. Rangimoto

Kuonesha mikutano ya kisiasa na maamuzi tu ya chombo husika! Kama siku hiyo kuna matukio mengine muhimu ya kijamii sio lazima waoneshe matukio ya kisisa tu! Huwezi kuwapangia waoneshe unachotaka wewe! Kama huangalii ni wewe tu na huna impact yeyote kwa chombo hicho, mbona hulalamikii SIBUKA
MAISHA nayo ni TV eti?

kuonesha habari za siasa kwa haki na usawa ni lazima na ni wajibu kwa chombo kinacho jipambanua kuwa ni cha haki na Usawa!

Mkubali kuwa ITV hawaitendei haki ACT watwambie ACT wame wakosea nini?
 
Last edited by a moderator:
Wamekaa kupromoti kanda ya Kaskazini baadaya ya uzalendo wa taifa. Angalia, magazeti yote yameacha habari yanaleta yale yale. Imekuwa kama magazeti ya CDM, ingawa IPP imezidi maana haibagui CDM na CCM kwa vile wanatoka huko.

Tunaomba wajue, wakiendelea na haya, wasisubutu kudanganya umma zaidi. Tumewaona.
Kwanini hawaoneshi habari za ACT? Kama wana hitaji pesa kurusha habari bora waseme...
Hii habari iwafikie na nime watumia email infor@itv.co.tz nasubiri wanijibu hututaki huu ujinga wa kubagua habari.....!
 
Mimi nawauliza Bavicha tukitoa habari ya uzinduzi wa chama cha ACT ni habari gani ya ACT ilishawai kurushwa ITV ? ITV siku hizi hawatende haki kabisa kwenye kutoa habari kabisa hasa hawa watendei haki ACT....!

WEWE kweli kobe...unailalamikia ITV kwani unaiendesha kwa pesa yako?

Kailalamikie TBC ambayo inaendeshwa kwa kodi yako

Mbona CHADEMA haioneshwi TBC ilihali ni haki yao lakini hawalalamiki........
 
Mengi ni moja ya watu wanaoleta mgawanyiko wa watu Tanzania. Anajitahidi aonekane mwema ila siku zinavyozidi watu wanamshitukia.

Amekaa kimaslahi sana na biashara zake. Mwisho atakuwa anauwezo wa kutuamlia Watanzania.

Kaa chonjo!!

Mengi ni ngumi jiwe!hamuelewi????
 
Uwatumie email we kama nani!

Itv wameshaonyesha kwamba wana mlengo gani hawa ni chadema damu usitarajie kupata habari za vyama vingine kwa uzito sawa na chadema
ITV KAMA TANZANIA DAIMA.

Wamekaa kupromoti kanda ya Kaskazini baadaya ya uzalendo wa taifa. Angalia, magazeti yote yameacha habari yanaleta yale yale. Imekuwa kama magazeti ya CDM, ingawa IPP imezidi maana haibagui CDM na CCM kwa vile wanatoka huko.

Tunaomba wajue, wakiendelea na haya, wasisubutu kudanganya umma zaidi. Tumewaona.

Nimesha watumia emai kupitia infor@itv.co.tz na nimeona tuwambie ukweli ili wabadilike na watende haki!

Wana wabagua ACT hadi wana tia aibu kabisa halafu wanataka kutudanganya kuwa wana tenda haki kwa habari zote wakati tuna ona hawatendi haki kabisa!

ITV mnatakiwa kujua hii ndio jf huwa hatukwepeshi kuwapa hamsini zao watu wanapo potoka sasa pokeeni hizi shilingi zenu na mbadilike tuna hitaji kuone mkitenda haki kwa kutoa habari kwa usawa sio mna hubiri tuu haki halafu haki haionekani ikitendeka!

ITV tunaomba mjirekebishe haraka iwezekanavyo!
 
Back
Top Bottom