We we una matatizo , kama unataka mikutano kama ile ya Tunduma imejaa u-tube , laiti wangelionesha mikutano yote huyo msaliti angeliaibika kuzomewa kama mwizi, eti mwembe yanga anataja majina sisi siyo wajinga kakurupuka na majina ya wahindi na warabu , akiangalia vibaya atapoteza kila kitu