sungusungu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 3,057
- 722
Last edited by a moderator:
jk alimpiga mzinga wa vocha,ndo alimpelekea,uliza kingine.Nani alimfitinisha .?juzi alikwenda ikulu kufanya nini?
Kwa habari ile ya majina yasiyoeleweka ya wahindi na MTU alishahapa kiapo kusema hana jina wala account tena mbele ya kamati na mwanasheria mkuu ulitaka wawatangazie habari za unafiki watanzania kuwa zito katoa majina ya uswiss alioapa kwa kiapo na kusema hana ITV ni superbrand lazima watangaze habari za uwakika na sio za unafiki na uongo
Uhuru huo anao Mangisina na si wafanyakaZ
teh teh bavicha ndivyo walivyo siku habari zao zisipo oneshwa lazima wageuke!
Sio kweli ITV wamerusha habari moja ya ATC wamerusha habari nyingine tatizo atc wanataka habari zao zirushwe sawa na ccm au cuf au chadema wakati kuna vyama avijawahi kupewa kipaumbele na vina mbunge sio habari zote za ccm chadema au cuf zinarushwa na ITV naomba ueleweHapa hatuongelei kuhusu hayo majina tunaongelea habari nyingine za ACT....hawa ACT walifanya mikutano karibu nchi nzima ..tukiacha mkutano wa Dar ambao kwa sababu za kibiashara ITV wasinge tangaza ni mkutano gani tukitoa ule wa ufunguzi wa ACT ambao ITV wame wahi kutujuza?
ITV kwa hili lazima tuhoji kabisa huo uhuru na usawa wanao uongea ni upi?
Niliwahi kuwaambia kuwa hizo tabia za kiongozi wao za kuwa kama kavaa kanga, uongouongo, fitina na ukigeugeu akafanyie huko kwao Mwandiga, hapa mjini atakipa shida chama chao.Mmesahau kiongozi wenu Zitto alipokwenda kumchongea Mengi kwa Kikwete? Leo mnataka media zake ziwarushie mikutano yenu?
Kuanzia leo sitatazama ITV, nimegundua tv hii ni ya kikanda, mikutano ya ACT haionekani katika taarifa zao za habari.
Tulikuwa na mkutano kibaha na mwembe yanga, lkn mikutano hii haijaonekana katika taarifa zake za habari.
Si hivyo tu, tulikuwa na mikutano mikubwa Mbeya, Tabora, Kigoma, na Shinyanga, huenda huko kulikuwa mbali lakini hata wa mailimoja kibaha? Yaan hata hapa MwembeYanga?
Hichi chombo sio huru na kiko kwa mlengo mbaya, mlengo wa kutugawa watanzania. Ni ajabu mmliki wa chombo hichi kupigania uhuru wa habari ikiwa yeye mwenyewe hatoi uhuru kwa wanahabari wanaofanya katika vyombo vyake.
Njano5.
762845394
784845394
Kuanzia leo sitatazama ITV, nimegundua tv hii ni ya kikanda, mikutano ya ACT haionekani katika taarifa zao za habari.
Tulikuwa na mkutano kibaha na mwembe yanga, lkn mikutano hii haijaonekana katika taarifa zake za habari.
Si hivyo tu, tulikuwa na mikutano mikubwa Mbeya, Tabora, Kigoma, na Shinyanga, huenda huko kulikuwa mbali lakini hata wa mailimoja kibaha? Yaan hata hapa MwembeYanga?
Hichi chombo sio huru na kiko kwa mlengo mbaya, mlengo wa kutugawa watanzania. Ni ajabu mmliki wa chombo hichi kupigania uhuru wa habari ikiwa yeye mwenyewe hatoi uhuru kwa wanahabari wanaofanya katika vyombo vyake.
Njano5.
762845394
784845394
Shoga zenu CCM wanawalipa waandishi na wahandisi wa habari na kutembea nao nchi nzima.sasa nyie kaeni msubiri vya bure mpaka mwisho wa dunia