Kuanzia sasa sitatazama ITV

Kuanzia sasa sitatazama ITV

vp unataka waonyeshe mlivyozomewa mbeya?
Au mnavyowataja mafisadi walioweka hela bank za uswiss?
Hoja zenu hazina uzito unaostahili kuonekana itv, saizi yenu tbcccm!
 
ITV ni superbrand,wanatangaza habari zenye maslahi kwa Taifa,sio vihabari vyenu vya kuchelewesha mabadiliko Tanzania,hata usipoangalia wewe wataangalia wenye akili timamu,nenda zako TBCCM.
 
Uhuru huo anao Mangisina na si wafanyakaZ
Wewe unafikiri uhuru ni kuonyesha habari zote hata kutoonyesha ni uhuru vilevile.

ITV ni chombo binafsi kinachofanya biashara kina uhuru wa kuchambua habari zenye faida kwa jamii, elewa si kila habari ni habari inayofaa kuonyeshwa.
 
Mengi ni moja ya watu wanaoleta mgawanyiko wa watu Tanzania. Anajitahidi aonekane mwema ila siku zinavyozidi watu wanamshitukia.

Amekaa kimaslahi sana na biashara zake. Mwisho atakuwa anauwezo wa kutuamlia Watanzania.

Kaa chonjo!!
 
Dotto C. Rangimoto

Kwani umelazimishwa utazame ITV mbona hujalalamikia Star TV!? Hivi kwani ACT ni chama cha Upinzani si ni Agizo la Chama Tawala!?
 
Last edited by a moderator:
ITV huwa wanakuwepo kw mikutano yenu, hata ile ya mbali huwa wanatuma muwakilishi.

Tatizo huwa hawapati cha kuripoti.

Au ulitaka warushe majina ya kina Amita Bachan
 
ITV ni superbrand,wanatangaza habari zenye maslahi kwa Taifa,sio vihabari vyenu vya kuchelewesha mabadiliko Tanzania,hata usipoangalia wewe wataangalia wenye akili timamu,nenda zako TBCCM.

Chukua 5
 
Dotto C. Rangimoto

Tizama TBCCCM wala usipate tabu kwani ni nani alikulazimisha kutizama I.T.V. tu ?.Mwembe Yanga ci mliwaalika Azam Tv sasa kelele ni za nini?Gamba wewe.
 
Last edited by a moderator:
Dotto C. Rangimoto

siku zoteeee ulikuwa hujui tusiombee mabaya siku nchi hii amani ikitoweka mtu wa kwanza kupeleka mahakama ya kimataifa ni vyombo vya habari vya ipp pamoja na mengi wake.
japo wengine watabisha lakini ukweli ndio huo
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ndo unaelewa leo? Itv ni chombo kinachoonesha habari za kichochezi tu. Endapo kuna siku mtapigwa mawe kwenye mikutano yenu ndo ataonesha na si kwa mazuri. Mangicdm yupo kwa ajil ya kaskazin chimbuko la cdm. Eti ndo anapgania uhuru wa vyombo vya habari wakati yeye mwenyewe hatoi haki. Kuoa wajukuu uzeeni ni tatizo mno. Angeenda hata kaskazini hukohuko angepata wamama wazuri tu wenye heshima zao.

This is where we loose the plot....

Kwanini tusizungumze hoja za msingi na kuacha kutukana haiba za watu.... walau tufiche upumbavu wetu kwa kuzungumza hoja msingi na kuacha Viroja

Inatushushia heshima na hata thamani na uzito wa hoja zetu unapotea kabisa
 
...act ni kitu gani hapa Tanzania ? mnadai airtime kama vile ni kitu cha maana sana. Mwambieni fisadi awape bajeti mpya mlipie airtime hamna hadhi ya kwenda hewani kwa free. act ni sawa na chauma, umiseta, chaneza, umishumta,appt maendeleo n.k....

Teh teh teh teh teh teh!
 
ITV huwa wanakuwepo kw mikutano yenu, hata ile ya mbali huwa wanatuma muwakilishi.

Tatizo huwa hawapati cha kuripoti.

Au ulitaka warushe majina ya kina Amita Bachan

Mkuu kama lile la mwembe Yanga Stelingi aliingia mitini na majina yake feki halafu hawa ndio wanataka I.T.V waripoti habari zao...
 
Dotto C. Rangimoto

Mmesahau kiongozi wenu Zitto alipokwenda kumchongea Mengi kwa Kikwete? Leo mnataka media zake ziwarushie mikutano yenu?
 
Last edited by a moderator:
mjini ni akili tuu babaaa,nyie rudini kigoma mkageme mawese tuu!,huku tuachieni sisi tunaojua kazi ya pesa,chapaa,mapene,cash

Mkuu hawa lekatutigite wana matatizo sana!
 
Tatizo mmiliki wa ITV anawachagulia wahariri wake habari za kuonyeshwa.
 
siku zoteeee ulikuwa hujui tusiombee mabaya siku nchi hii amani ikitoweka mtu wa kwanza kupeleka mahakama ya kimataifa ni vyombo vya habari vya ipp pamoja na mengi wake.
japo wengine watabisha lakini ukweli ndio huo

Kwa hoja ipi au kwa ushahidi UPI?.Hivi Watanzania mbona tumekuwa wajinga kiasi hichi?.Viongozi wametafuna na wanaendelea kutafuna raslimali zetu hamlioni hilo mnabaki kukazania kitu kisichokuwapo..Jinga kabisa wew
 
Mengi ni moja ya watu wanaoleta mgawanyiko wa watu Tanzania. Anajitahidi aonekane mwema ila siku zinavyozidi watu wanamshitukia.

Amekaa kimaslahi sana na biashara zake. Mwisho atakuwa anauwezo wa kutuamlia Watanzania.

Kaa chonjo!!

Sijakuelewa hoja yako inalenga nini zaidi.Kwa kuwa unambeza mengi tuambie wewe umelifanyia nini taifa la Tanzania na watu wote wakakubali.
Ukijibu hoja hiyo nitaunganisha mawazo.kumbuka JF ni sehemu ya great thinkers na si kuja na umbea wa mtaani tu.
Jenga hoja!!!
 
Badala ya kulalamika mwambieni Zitto amkumbushe Sultan kuhusu ahadi ya meli mpya ziwa Tanganyika tutatangaza,au mmeridhika na mv liemba!
 
Back
Top Bottom