Kuanzia sasa sitatazama ITV

Kuanzia sasa sitatazama ITV

Dotto C. Rangimoto

katazame tbc yenu! laana ya USALTI itawatafuna taratibu,kaaa kulialia na itv,mwisho wenu ni baada ya ELECTION october hakutakuwa na AGIZO LA CHAMA TAWALA (ACT) tena katika ardhi hii ya TANGANYIKA!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha mbona munatuandama sana act yetu ya waha wa kasulu bado ipo sawa.
 
Badala ya kulalamika mwambieni Zitto amkumbushe Sultan kuhusu ahadi ya meli mpya ziwa Tanganyika tutatangaza,au mmeridhika na mv liemba!


Mpaka iwaue ndio watastuka na kukumbuka ahadi ya Sultani wako.
 
Mkuu hujui kama hile bifu bado halijaisha mkuu
 
huyu jamaa haeleweki,mbona hata Tv nyingine hazionyeshi hujalalamika.
 
Kwa habari ile ya majina yasiyoeleweka ya wahindi na MTU alishahapa kiapo kusema hana jina wala account tena mbele ya kamati na mwanasheria mkuu ulitaka wawatangazie habari za unafiki watanzania kuwa zito katoa majina ya uswiss alioapa kwa kiapo na kusema hana ITV ni superbrand lazima watangaze habari za uwakika na sio za unafiki na uongo
 
Jamaa wana wabagua sana ACT......! Huu ni ukweli na wanatakiwa wabadilike na nitawatumia email kuwauliza kwanini hawaoneshi habari za ACT?
 
Yale mliokuwa mnayalalamikia TBC, Sasa mnayatetea huku. Bavicha watu wa ovyo kabisa.

Kwani tulilalamika kuhusu nini mkuu,na nyie mnalalamika kuhusu nini? teh teh teh teh
 
Back
Top Bottom