Kuanzia sasa sitatazama ITV

Kuanzia sasa sitatazama ITV

Hilo ni habari tangazo, lazima ulipie. Muulize Pasco wa JF akufafanulie hilo.
 
Kuanzia leo sitatazama ITV, nimegundua tv hii ni ya kikanda, mikutano ya ACT-Wazalendo haionekani katika taarifa zao za habari.

Tulikuwa na mkutano Kibaha na Mwembe yanga, lkn mikutano hii haijaonekana katika taarifa zake za habari.

Si hivyo tu, tulikuwa na mikutano mikubwa Mbeya, Tabora, Kigoma, na Shinyanga, huenda huko kulikuwa mbali lakini hata wa Mailimoja Kibaha? Yaan hata hapa MwembeYanga?

Hichi chombo sio huru na kiko kwa mlengo mbaya, mlengo wa kutugawa watanzania. Ni ajabu mmliki wa chombo hichi kupigania uhuru wa habari ikiwa yeye mwenyewe hatoi uhuru kwa wanahabari wanaofanya katika vyombo vyake.

Njano5.
762845394
784845394
Acha, tutaangalia sisi, ina maana hujui kuwa supreme leader wenu alimfanyia umbea mengi kwa kikwete?
 
Kuwa na fikra pevu wewe! Lengo la mkutano wenu lilikuwa nini? Lilikuwa kuwahutubia watu waelewe sera zenu au lilikuwa kurushwa na ITV? Je,TV nyingine zilirusha hewani mikutano yenu isipokuwa ITV tu? Jibu haya maswali kabla sijakuja na hoja makini ya kufunga huu mjadala uliouanzisha.
 
Kwanini hawaoneshi habari za ACT? Kama wana hitaji pesa kurusha habari bora waseme...
Hii habari iwafikie na nime watumia email infor@itv.co.tz nasubiri wanijibu hututaki huu ujinga wa kubagua habari.....!

act achen kulia lia mnafkir siasa za tanzania zinaishia mwandiga eee.fanyen siasa watu hata diwan hamna mnataka coverage ya itv!!! huu ni ushenzi wa kupindukia mbna clouds tv na tbc.ccm zinawarusha au kwa sababu watu hawaziamin hizo
 
Ndio ...yalikua na yako hivyo.......

Lakini ilitokea hivyo baada ya TBC ambayo inaendeshwa kwa kodi yangu kushindwa kurusha matukio ya chama chetu
Sasa Mueleweshe msukule mwenzio aliyesema kuwa CHADEMA haikuwahi kulalamika kuhusu TBC.
 
Mangi yuko after money zzk ubahiri wake ndio umemcost,ila azam wanakuja,soon tutasahau zle studio za karne ya 14,na hichi ndicho kinachomfanya babu anakosa amani
 
Nimesha watumia emai kupitia infor@itv.co.tz na nimeona tuwambie ukweli ili wabadilike na watende haki!

Wana wabagua ACT hadi wana tia aibu kabisa halafu wanataka kutudanganya kuwa wana tenda haki kwa habari zote wakati tuna ona hawatendi haki kabisa!

ITV mnatakiwa kujua hii ndio jf huwa hatukwepeshi kuwapa hamsini zao watu wanapo potoka sasa pokeeni hizi shilingi zenu na mbadilike tuna hitaji kuone mkitenda haki kwa kutoa habari kwa usawa sio mna hubiri tuu haki halafu haki haionekani ikitendeka!

ITV tunaomba mjirekebishe haraka iwezekanavyo!

Sisi ITV tunakiri kuipokea E Mail yako na tumeipuuza kama tunavyopuuza upuuzi mwingine.

Ahsante kwa kuangalia ITV.
 
Sisi ITV tunakiri kuipokea E Mail yako na tumeipuuza kama tunavyopuuza upuuzi mwingine.

Ahsante kwa kuangalia ITV.

Wapumbafu sana hao jamaa,naona wamepost ujinga wao kule @FB.

Walivyomchongea MENGI kwa kikwete, walikuwa wanamaana gani.
Yani wanatukana Mamba kabla hawajavuka Mto.

Waanzishe na wao @TV yao.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom