Kuanguka kwa CCM - Unabii Utatimia!

Kuanguka kwa CCM - Unabii Utatimia!

Kama TMK wanaume wameweza kutengana na kuwa makundi mawili..kwanini CCM wasiweze ...wajitenge waanzishe chao kiitwe CCM-Safi na wengine hao mafisadi wakiite ivyo ivyo sijui CCM - Halisi..tuone sasa kama wale walio safi halafu wanang'ang'ania kwenye CCM - Halisi( Ya Ufisadi) hawatakimbilia kujiunga na CCM- Safi baada ya Uchaguzi wa 2010. Mapinduzi yanawezekana bila mtutu jamani.....
 
Isije ikawa wanajiongelesha tu hawa baada ya kuona mwaka mwingine wa campaign unakaribia na hata wapiga kura wao wawaone kuwa nao wapo hapo bungeni. Kwani hawa watu(Waheshimiwa kama tunavyowaita wanatabia ya kuongea vingine na hatimaye ku perform vingine. Wakati walalahoi tunazidi kunyongeka. Hali halisi jamani inatisha

Naomba Mungu tu atusaidie tumpate kiongozi ambaye ni mzalendo kwani midomo huunda.
 
Kama TMK wanaume wameweza kutengana na kuwa makundi mawili..kwanini CCM wasiweze ...wajitenge waanzishe chao kiitwe CCM-Safi na wengine hao mafisadi wakiite ivyo ivyo sijui CCM - Halisi..tuone sasa kama wale walio safi halafu wanang'ang'ania kwenye CCM - Halisi( Ya Ufisadi) hawatakimbilia kujiunga na CCM- Safi baada ya Uchaguzi wa 2010. Mapinduzi yanawezekana bila mtutu jamani.....


..kama TMK = CCM ,basi kazi ipo!
 
japo ni ndoto,
lakini tupendekeze tu nani aingie humo, na nani asiingie kabisa
je kuna waziri anaweza kuingia?
 
Nadhani wana nafasi nzuri zaidi ya kuikosoa serikali wakiwa ndani ya bunge kuliko nje. Na kama hawakubaliana na mwenendo mzima wa chama ( which I doubt ) wasubiri bunge litakapo vunjwa comes 2010 and hope by then private candidate wataruhusiwa wajitose huko.

Kuhamia vyama hivi vya ushindani tulivyo navyo sasa hivi ni ku commit political suicide.....
 
..kwahiyo,tuendelee kuota!

do not mind me,
hizi h abari zote mara albino, mara chenge, mara jk, mkapa, njaa, uchawi unanifanya nachanganyikiwa, nadhani Tanzania inabomoka sasa.
who to believe in or who not to?
JF nayo siku hizi hata kuchuja point inakuwa shida, tumeshaingiliwa na humu pia.
 
Kama TMK wanaume wameweza kutengana na kuwa makundi mawili..kwanini CCM wasiweze ...wajitenge waanzishe chao kiitwe CCM-Safi na wengine hao mafisadi wakiite ivyo ivyo sijui CCM - Halisi..tuone sasa kama wale walio safi halafu wanang'ang'ania kwenye CCM - Halisi( Ya Ufisadi) hawatakimbilia kujiunga na CCM- Safi baada ya Uchaguzi wa 2010. Mapinduzi yanawezekana bila mtutu jamani.....

Nani atakuwa Mwenyekiti wa CCM-SAFI na CCM-HALISI
 
Kama watahamia Upinzani wataenda chama kipi CHADEMA,NCCR,CUF,TLP au wataanzisha nawao Chama chao??
 
Mwiba !!!!

Hiyo stori ilivyo tu ni tamu.

Lakini ni lazima na mimi nitoe mawili matatu kuhusu huo mpan go wa wabunge wa CCM kuhamia upinzani.

Kwanza niwaulize hapa jamvini: Kama inawezekana sana wapinzani kuamia CCM kuna ubaya gani mCCM kuhama?

Sasa kuhusu hao waCCM kuhama, mimi ninawatakia mafanikio mema kabisa katika huo mpango. Na naomba ieleweke kabisa kuwa katika wabunge na wanachama wa CCM ambao wanapiga makofi na kukishangilia chama kwa bidii, zaidi ya nusu yake wanafanya hivyo kwa kukosa wafanyeje. Wanajua kabisa kuwa nchi yao inaliwa na mafisadi na mafedhuli wachache. wao wamebakia tu kuwa rubberstamp ya wakubwa waweze kula kilaini.

Sasa ni nini wanasubiri kutoka CCM? Ninafikiri moja ya kitu muhimu sana ni kusubiri kapensheni kao na hatimaye waweze kuimbarisha kambui zao za siasa.

Nendeni upinzani na sisi tutawafuata huko huko.
 
kwa Tanzania haiwezekani labda Malawi au Kenya
 
KWA HIYO MBUNGE AKIWA STRONG HAFAI CCM....?
KILANGO KAA HAPO HAPO PIGA KAZI....!
WANAOHAMA CCM NI WALE WALIOISHIWA....! (mtei,mapalala,sharif hamad)
WANAOHAMIA CCM NI STRONG...........!
(japo kuna strong ambao bado hawajahamia....SLAA, NDESA)
I SUBMIT

Haha, good observation. Kweli kuwa CCM unatakiwa kuwa strong, kwa sababu inabidi ukubali kukalia kimya wizi na dhuluma, ukiwa weak huwezi kuvumilia hayo kama Mrema inakubidi ukimbie. Ukiona mtu kutoka upinzani anakimbilia CCM jua huyo anataka kitu. Tambwe, Kaborou, Lamwai etc etc na mara nyingi wamekuwa wamepewa kinono fulani au kubanwa mbavu na kuamua kuwatosa wananchi na kujiunga nao.
Ukumbuke kuwa CCM si chama cha wezi, lakini ndani ya CCM kuna genge la wezi, ambao wanawatumia wanachama na wanakitumia chama kama njia ya kuwaibia watanzania. Kama Slaa, Lipumba, Mbowe etc etc wangekuwa CCM, wangeambiwa kuzungumzia mambo ya ufisadi sio msimamo wa Chama kwa hiyo Richomond, EPA, Import support etc etc sasa hivi yasingesikika. Tusingesikia hata kama Chenge anavijisenti Jersey na tusingesikia kama mjuu wa miaka minne wa mramba ana sh Bilioni nne.
Kama kweli wewe ni mwanaCCM wa kweli na ni mtanzania mzalendo halisi, unaweza kukubaliana nami. Intra party opposition, inter party opposition sio jambo baya. Hii ni wrong perception lazima tuache siasa za mzee Kingunge!
 
Haha, good observation. Kweli kuwa CCM unatakiwa kuwa strong, kwa sababu inabidi ukubali kukalia kimya wizi na dhuluma, ukiwa weak huwezi kuvumilia hayo kama Mrema inakubidi ukimbie. Ukiona mtu kutoka upinzani anakimbilia CCM jua huyo anataka kitu. Tambwe, Kaborou, Lamwai etc etc na mara nyingi wamekuwa wamepewa kinono fulani au kubanwa mbavu na kuamua kuwatosa wananchi na kujiunga nao.
Ukumbuke kuwa CCM si chama cha wezi, lakini ndani ya CCM kuna genge la wezi, ambao wanawatumia wanachama na wanakitumia chama kama njia ya kuwaibia watanzania.

Kama familia yetu watu wote ni wezi, je mtu akituita familia ya wezi atakosea?
ccm ina wezi 70% na 95% NEC yao. Basi ni chama cha wezi kwa hakika. Tena mara nyingine wa silaha, kama uchawi sumu ajali za barabarani nk.
 
ushauri wangu kuwa wasihame, bali waipiganie haki hapo hapo kwenye ccm. kufanya hivyo kutampatia ushindi zaidi mwananchi kuliko kwa kujiengua chama.

Wagombanie haki ndani ya CCM chini ya Mwenyekiti yupi na katibu yupi?
Makamba na JK?
Ama Lowasa akishateuliwa?
 
do not mind me,
hizi h abari zote mara albino, mara chenge, mara jk, mkapa, njaa, uchawi unanifanya nachanganyikiwa, nadhani Tanzania inabomoka sasa.
who to believe in or who not to?
JF nayo siku hizi hata kuchuja point inakuwa shida, tumeshaingiliwa na humu pia.

Haika wewe ni mzalendo na inajulikana..Wewe chapa kazi ya Mungu na utalipwa!
Stick to the point kwani imani ndio nguzo muhimu wakati huu na maombi mengi huku tukipigana kiume kwa ajili ya Taifa letu ambalo limejaa baraka nyingi kutoka kwa Mungu ambazo zimegeuzwa na kuwa machukizo machoni pa Mungu na wanadamu wampendao na wenye kumtumikia.
 
Kuna habari kuwa kuna wabunge wanajiandaa kuihama CCM kwa mkupuo wa pamoja au mmoja mmoja ,kitu ambacho kipo kwenye mashauriano.
Habari zimezidi kutonya kuwa wabunge hao ambao wameamua kulinda maslahi na malengo yaliowapeleka hapo Bungeni badala ya kukaa na kuwalinda watu wasio kuwa na uchungu wa Inchi hii ,wana imani kubwa kuwa WaTanzania walio wengi watawaunga mkono katika kitendo hicho ambacho wamekiita ni cha Kishujaa na utii kwa wananchi na pia wana imani kuwa wananchi waliowachagua kuwapeleka Bungeni watawachagua tena hata wakiwa ni wagombeaq binafsi kwa vile msimamo wao ni kulinda maslahi ya wananchi na kutowaonea haya wezi wa fedha ya Nchi hii na mali zake.
Wabunge hao wamezidi kuipa msonyo CCM kuwa ni Chama kinachoendeshwa kidikiteta na zaidi wengine kujiona wao ni wa Mjini na wanaweza kufanya lolote bila ya huruma kwa wananchi,na kuwafanya wabunge wawe na hali ngumu kurudi kuomba kura tena pale ufikapo msimu wa harakati za kujinadi ili wachaguliwe tena.
Wakizidi kutoa mchapo kuwa CCM kumejaa vigogo ambao wanatumia fedha nyingi kwa kulinda maslahi binafsi na kusahau kama wao wapo hapo kwa ajili ya maslahi ya Taifa na wananchi wake ,ndio ukaona jinsi wanavyoiba fedha ya umma bila ya huruma ..mmoja wao aliongezea.
Wabunge hao ambao wengi wao huwa wanaonekana wakimya ndani ya bunge wamezidi kutonya kuwa safari hii CCM magome watafahamu kuwa mizizi ndio muhimu kwa mti.

Mchapo mzuri.

Tatizo, kichwa cha thread hakisemi udaku. Kinadanganya!
 
Kuna mbunge mmoja nimemsikia akisema kuwa wao wabunge wa CCM jukumu lao la kwanza bungeni ni kukitetea chama chao. Mahali nilipokuwa watu wote waliguna. Mbunge huyo akaendelea kuwa wabungem wa CCM hawajagawanyika kwani wote wana lengo la kukitetea chama chao na baadae wananchi
Ilikuwa TBC (TV) mara baada ya kuahirishwa Bunge leo asubuhi, mtangazaji akawa anawahoji nje ya bunge.
WABUNGE WA AINA HII HAWAFAI KABISA
 
mkuu isaya mwita
"""""""""""""""""""""""""""MAMA ANNE KILANGO""""""""""""NI MUUJIZA TOSHA KUONYESHA KUMBE KUNA MIUJIZA YAWEZA TOKEA..SAMAHANI KAMA WEWE NI SISIEMU UJALIONA HILI!!!!!!!!!!!!!!!!SUBIRI MIUJIZA MINGI TU MKUU WA KAZI WAKATI UMEFIKA KUANGALIA VIZAZI VIJAVYO VITAISHIJE NA SI HIVI VIZAZI VYA LAAAAAAAAAANA MARJISI!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom