lord atkin
Senior Member
- Sep 30, 2018
- 197
- 683
Leo naomba niwashauri vijana tuachane na tabia ya kupenda kuangalia video za ngono ni hatari Sana kwani zinasababisha tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.
Siku hizi vijana wengi Wana matatizo ya nguvu za kiume zinazotokana na kuangalia Sana picha za ngono (pornograph). Video za ngono huathiri vichocheo vya ubongo kwenye mapenzi na kumfanya mwanaume kuwa na hisia sugu kiasi kwamba hata akikutana na mwanamke hisia zake zinahisi kawaida kiasi kwamba hawezi kumwamsha hisia Kwa sababu amezoea kuangalia picha za ngono hii ndiyo inayoitwa porn induced erectile-dysfunction.
Video za ngono zinaweza kubadili kabisa mvuto wa kimapenzi na kihisia wa mwanaume ambapo siku hizi wanaume wanaangalia mpaka video za ngono za gay ili wamwage. Hali imefikia sehemu mbaya sana
Ewe kijana chukua hatua sasa ya kuacha kabisa kuangalia video za ngono na kupiga punyeto ili unusuru mahusiano yako ya kimapenzi ya baadaye.
Siku hizi vijana wengi Wana matatizo ya nguvu za kiume zinazotokana na kuangalia Sana picha za ngono (pornograph). Video za ngono huathiri vichocheo vya ubongo kwenye mapenzi na kumfanya mwanaume kuwa na hisia sugu kiasi kwamba hata akikutana na mwanamke hisia zake zinahisi kawaida kiasi kwamba hawezi kumwamsha hisia Kwa sababu amezoea kuangalia picha za ngono hii ndiyo inayoitwa porn induced erectile-dysfunction.
Video za ngono zinaweza kubadili kabisa mvuto wa kimapenzi na kihisia wa mwanaume ambapo siku hizi wanaume wanaangalia mpaka video za ngono za gay ili wamwage. Hali imefikia sehemu mbaya sana
Ewe kijana chukua hatua sasa ya kuacha kabisa kuangalia video za ngono na kupiga punyeto ili unusuru mahusiano yako ya kimapenzi ya baadaye.