Tafakari_nami
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 779
- 1,516
Kama kicha cha Habari kinavyo jieleza, nina account Twitter na zamani nilikuwa napenda sana kutumia huu mtandao yaani kuliko instagram ila kwa sasa naona yamenishinda.
Kwenye account yangu sija follow account yoyote yenye mambo ya ngono au porn account ila sasa naona watu wana post sana video zinazo shahabiana na porn videos, unaweza kuta mtu kapost "check out this funny videos " ukifungua ni kweli funny video ila kwenye comment ya hiyo post ni porn videos zinafuata, na mara nyingine una kuta huja follow hizo account zao ila unashangaa videos au picha Wanawake wapo nusu uchi, yaani ni kama algorithm fulani wameweka kwenye huo mtandao hizo videos ziwe lazima kuziona hata kama huja follow account za mambo ya wakubwa.
Kwa kifupi naona XVIDEOS, PORNHUB zimahamia uko twitter kuna videos mpaka za lisaa au nusu saa. Yaani huna haja ya kuwasha VPN ili uingie XVIDEOS AU PORNHUB we download twitter tuu ingia huko utakutana na mavideos ya kishenzi kama yote.
Yaani umekuwa siyo ule mtandao wa kistaarabu au watu wasomi kama zamani ilivyokuwa sasa hivi ni changanyikeni watu wanafanya biashara huko kama instagram, zamani haikuwa hivyo.
Au ni mimi tuu ndiyo naona haya mabadiliko, au kuna settings nimekosea kwenye account yangu ndiyo maana haya mavideos nayaona.
Ushauri wenu jamani.
Kwenye account yangu sija follow account yoyote yenye mambo ya ngono au porn account ila sasa naona watu wana post sana video zinazo shahabiana na porn videos, unaweza kuta mtu kapost "check out this funny videos " ukifungua ni kweli funny video ila kwenye comment ya hiyo post ni porn videos zinafuata, na mara nyingine una kuta huja follow hizo account zao ila unashangaa videos au picha Wanawake wapo nusu uchi, yaani ni kama algorithm fulani wameweka kwenye huo mtandao hizo videos ziwe lazima kuziona hata kama huja follow account za mambo ya wakubwa.
Kwa kifupi naona XVIDEOS, PORNHUB zimahamia uko twitter kuna videos mpaka za lisaa au nusu saa. Yaani huna haja ya kuwasha VPN ili uingie XVIDEOS AU PORNHUB we download twitter tuu ingia huko utakutana na mavideos ya kishenzi kama yote.
Yaani umekuwa siyo ule mtandao wa kistaarabu au watu wasomi kama zamani ilivyokuwa sasa hivi ni changanyikeni watu wanafanya biashara huko kama instagram, zamani haikuwa hivyo.
Au ni mimi tuu ndiyo naona haya mabadiliko, au kuna settings nimekosea kwenye account yangu ndiyo maana haya mavideos nayaona.
Ushauri wenu jamani.