johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,148
Shehe wa mkoa wa DSM Alhad Mussa Salum ametangaza kuwepo kwa kongamano kubwa la viongozi wa dini jijini Dodoma kwa ajili ya kuombea uchaguzi na kutoa mwelekeo kwa waumini kuhusu mazingatio wakati wa uchaguzi.
Kongamano hilo litafanyika katika uwanja wa Jamhuri na mgeni rasmi atakuwa Rais Magufuli.
Source: Star TV habari.
Maendeleo hayana vyama!
Kongamano hilo litafanyika katika uwanja wa Jamhuri na mgeni rasmi atakuwa Rais Magufuli.
Source: Star TV habari.
Maendeleo hayana vyama!