Rais Samia Mgeni Rasmi Maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Agosti 21, 2023

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Miaka 60 Ya Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yatakayofanyika Jumatatu tarehe 21 Agosti 2023 katika Chuo cha Tumaini Makumira mkoani Arusha.

Mwenyeji wa Rais Samia anatarajiwa kuwa Mkuu wa Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo

WhatsApp Image 2023-08-20 at 13.28.10.jpeg
 
Imeisha hiyoo
Imeisha kitu gani?

Mamako mwenyewe hapo hajiamini, anajua anaweza kuondoka hapo, nyuma jamaa wanatoa tamko lao na kupinga ule mkataba wa hovyo wa bandari.

Usichokijua, hii issue ya kuhudhuria inakuwa imeshapangwa muda mrefu, kwa hiyo kinachotokea hapo hakikutarajia kama hali ya kisiasa itakuwa kama ilivyo kwa sasa nchini, na hakiwezi kubadilisha msimamo wa KKKT juu ya kile walichopanga kuongea kuhusu ule mkataba wa hovyo.
 
Imeisha kitu gani?

Mamako mwenyewe hapo hajiamini, anajua anaweza kuondoka hapo, nyuma jamaa wanatoa tamko lao na kupinga ule mkataba wa hovyo wa bandari.

Usichokijua, hii issue ya kuhudhuria inakuwa imeshapangwa muda mrefu, kwa hiyo kinachotokea hapo, hakikutarajia kama hali ya kisiasa itakuwa kama ilivyo kwa sasa nchini, na hakiwezi kubadilisha msimamo wa KKKT juu ya kile walichopanga kuongea kuhusu ule mkataba wa hovyo.
Tamko limtishe nani!!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Miaka 60 Ya Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yatakayofanyika Jumatatu tarehe 21 Agosti 2023 katika Chuo cha Tumaini Makumira mkoani Arusha.

Mwenyeji wa Rais Samia anatarajiwa kuwa Mkuu wa Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo
View attachment 2722805
Bure
 
Imeisha kitu gani?

Mamako mwenyewe hapo hajiamini, anajua anaweza kuondoka hapo, nyuma jamaa wanatoa tamko lao na kupinga ule mkataba wa hovyo wa bandari.

Usichokijua, hii issue ya kuhudhuria inakuwa imeshapangwa muda mrefu, kwa hiyo kinachotokea hapo, hakikutarajia kama hali ya kisiasa itakuwa kama ilivyo kwa sasa nchini, na hakiwezi kubadilisha msimamo wa KKKT juu ya kile walichopanga kuongea kuhusu ule mkataba wa hovyo.
Pole yako.
Utaishia kuomba mabaya mwisho wa siku yanakurudia mwenyewe.
 
Imeisha kitu gani?

Mamako mwenyewe hapo hajiamini, anajua anaweza kuondoka hapo, nyuma jamaa wanatoa tamko lao na kupinga ule mkataba wa hovyo wa bandari.

Usichokijua, hii issue ya kuhudhuria inakuwa imeshapangwa muda mrefu, kwa hiyo kinachotokea hapo, hakikutarajia kama hali ya kisiasa itakuwa kama ilivyo kwa sasa nchini, na hakiwezi kubadilisha msimamo wa KKKT juu ya kile walichopanga kuongea kuhusu ule mkataba wa hovyo.

KKKT HAWATAJATOA TAMKO
TAMKO WAMETOa watoto wa papa /Roman catholic
 
Back
Top Bottom