Kongamano la Kitaifa la Kiongozi wa Dini kuombea Uchaguzi kufanyika 24/08/2020, mgeni rasmi atakuwa Rais Magufuli

Halafu viongozi wa dini wanaitisha kuombea amani nchi, huku tume ina idadi ya wapiga kura ya kubumba. Watanzania tunakaribia 60m. Inawezekana vipi 29m wawe wamejiandikisha kupiga kura? Ni kweli kila watanzania wawili mmoja kajiandikisha kupiga kura?

Ni kweli nusu ya watanzania wanamiaka 18+, huku walio chini ya miaka 18 ni sawa kabisa na walio juu? Kwa akili ya kawaida tu hili linawezekana? Katika mazingira ambayo tume wana idadi ya wapiga kura ya kubumba wataweza kutangaza matokeo ya kweli?
Mkuu tindo ,kila nikiitafuta idadi ya wapiga kura kwenye tovuti ya NEC,sipati. Hiyo idadi iko wapi mkuu?
 
Halafu viongozi wa dini wanaitisha kuombea amani nchi, huku tume ina idadi ya wapiga kura ya kubumba. Watanzania tunakaribia 60m. Inawezekana vipi 29m wawe wamejiandikisha kupiga kura? Ni kweli kila watanzania wawili mmoja kajiandikisha kupiga kura?

Ni kweli nusu ya watanzania wanamiaka 18+, huku walio chini ya miaka 18 ni sawa kabisa na walio juu? Kwa akili ya kawaida tu hili linawezekana? Katika mazingira ambayo tume wana idadi ya wapiga kura ya kubumba wataweza kutangaza matokeo ya kweli?
Kwenye sehemu ya Takwimu za Wapiga kura kupo tupu,kazi inaendelea. Kazi gani?
2020_08_22_11.23.17.jpg
 
Mkuu tindo ,kila nikiitafuta idadi ya wapiga kura kwenye tovuti ya NEC,sipati. Hiyo idadi iko wapi mkuu?

Wametangaza kwenye mkutano zaidi ya mmoja, hawezi kuiweka maana wanajua itazua querries. Lakini lengo hasa ni kuhakikisha wanamtangaza Magufuli kwa 90%+. Hayo maombi yanayoendeshwa ni kwa kuwa wanajua nini watafanya. Hivyo wanajifanya kama wacha Mungu ili kuwazubuisha wananchi. Nimesema kwenye post zaidi ya moja, iwapo wapinzani watasimama kuhakikisha mgombea halali anatangazwa, ni lazima machafuko yatokee yatakayopelekea umwagikaji wa damu.
 
Back
Top Bottom