Well said. Nitakutafuta nikupe bando la mwezi mzima.Hao sio viongozi wa dini ni wajasiliamali wa dini. Wahuni na wala sadaka tu!
Ila Bora Lissu awajue wanafiki wote ili akiingia ikulu ajue amsikilize kiongozi yupi wa dini!
Hawa watu wamefanya hata watu wasiwe na hamu tena ya kwenda kanisani wala msikitini.