wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,713
- 26,850
Kenge huyo.... Sio huyo mdudu !!
Kama huamini basi
Kenge huyo.... Sio huyo mdudu !!
Sifa anazo lakini mkuu dudumizi alimpamba sanakwani hana hizo sifa. Unamuonea wivu hadi mnyama?
Mkuu huyo kenge hana uhatari kihivyo. Mnyama kama unaweza kumkimbia huyo kawaida tu hatari yake kama wengine tuNimempa sifa baada ya kuona wazungu wamemnyima sifa zake stahiki katika Big 5 ya wanyama wakali na hatari, kisa tu kwa vile hakuwahi kupatikana kwao ulaya
Mkuu kuna Jelly fish nae balaa mwingine kuna Samaki anaitwa Bocha ana fanana na mawe sumu yake kali sana akikuchoma na Hata mwiba wake sehemu iliyochomwa inaanza kuoza muda huo huo kadri damu inavyopanda zungukaTukiachana na hayo mengine ya speed nk ambayo kila mnyama kapewa namna yake ya kutembea na kukimbia. Tuje kwenye swala la Tiger au Simba kumu attack huyu jamaa.
Hapa kuna mambo mawili tofauti ambayo haukuyafahamu. Mambo hayo ni:
1) Tiger au Simba akimu attack komodo ni lazima atahitaji amfanye kitoweo baada ya attack. Kwahiyo hapo tunaona kabisa attack ya mnyama Tiger au Simba itasababisha vifo vya wote wawili, yani komodo na yeye tiger au simba kwa sababu ya venom (sumu) kali iliyo katika mwili la hili dubwasha.
Ikitokea Tiger au Simba ndo kaliwa timing na komodo basi hapo predator huyo atakuwa hana ujanja wa kukwepa kuwa kitoweo cha hili dudu.
😂😂😂 Hii ndio sababu watu wengi wanalichukulia poa, wanajua ni kibogoyo tu kwahiyo haliwezi kuwa na madhara.Ahaa hapo sawa ila ukiangalia vibaya kama kibogoyo
Duh kumbe kila mtemi ana mtemi mwenzieMkuu kuna Jelly fish nae balaa mwingine kuna Samaki anaitwa Bocha ana fanana na mawe sumu yake kali sana akikuchoma na Hata mwiba wake sehemu iliyochomwa inaanza kuoza muda huo huo kadri damu inavyopanda zunguka
Yani sometimes unaweza kusema kuwa hili limnyama limeumbwa kwa ajili ya kuuwa na kuwala wanyama wengine.Huyo mnyama ni hatari sana nimeziona hizo post ulizosema
Asante mkuu kwa kuongezea nyama kwa hili ambalo wengi tulikuwa hatulijui. Yani huyu mnyama hutumia akili sana katika mawindo yake.Ana staili yake nyingine ya kupata nyama, hupakaza sumu yake kwenye nyasi halafu yeye huondoka.
Badae au kesho yake komodo hurudi pale kula nyama. Mnyama yoyote atakae kula zile nyasi hufa hapo hapo.
Source National Geographic channel
kwani hana hizo sifa. Unamuonea wivu hadi mnyama?
Mkuu mkorea koboko akikuotea anakugonga unakufa kwa amani, huyu akikuotea anakung'ata na kukuuwa kwa kukumega kiungo kimoja baada ya kingine huku ukiwa hai hadi unaisha. So hauoni kama hili dudu ni hatari zaidi?Kenge aliechangamka
Haujaingia miziki ya koboko, simba, chui
Unaijuwa risasi ?Kwanini wanyama kama hawa wasifanyiwe training wakawa wanatumika jeshini… ? Nahis jeshi la nchi kavu lingefanikiwa zaid kama lingekuwq na wanyama kama hawa kushambulia adui, kwa mfano vita ya ukrain na Urusi… Ukraine wangeyaachia haya madragoni kama 50 hivi kushambulia aisee pangekua patamu
Katika viumbe vyote vilivyoumbwa, binadamu kaumbika kuliko vyoteKiufupi binadamu tumependelewa sana wala haijatokea bahati mbaya.
Wataalam wenyewe wa mambo ya wanyama washakiri hadharani (youtube) kama unavyoona kwamba hili dubwasha ni hatari hata kwa king of the jungle Simba, sasa mimi na ww tunawezaje kulichukulia poa.Mkuu huyo kenge hana uhatari kihivyo. Mnyama kama unaweza kumkimbia huyo kawaida tu hatari yake kama wengine tu
Mkuu Slowly sio mimi pekee niliesema hivi. Hata wataalam wenyewe wa mambo ya wanyama washakiri hadharani kuwa hata huyo king of the jungle Simba, hawezi kuweka mguu maeneo ya hawa viumbe.Mtoa mada umedanganya watu , sio mnyama hatari kama uanvyodai , wanyama hatari wapo na wanajulikana , ana kiwango chake cha uhatari Ila sio hatari zaidi hata kumfikia cobra tuu
Wataalam wa wanyama washakiri kuwa king of the jungle Simba hawezi kuweka mguu maeneo ya viumbe hawa mkuu.Huyu kenge mwenye jina la kizungu ndio unaemfagilia namna hii!?
Mkuu, Nakuomba ukafanye marejeo usije ukatupoteza bila kukusudia!.