Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,415
- 26,991
Umemsahau Nile Croc. Dubwana la kutishaaaKenge aliechangamka
Haujaingia miziki ya koboko, simba, chui
Umemsahau Nile Croc. Dubwana la kutishaaaKenge aliechangamka
Haujaingia miziki ya koboko, simba, chui
Sio mimi nilieongea hivi. Hao ni wataalam wenyewe wa mambo ya wanyama. Ndio wanaokiri kuwa hata huyo king of the jungle Simba hawezi kuweka mguu maeneo ya hawa viumbe.Umemsahau Nile Croc. Dubwana la kutishaaa
Mkuu, huu ndio ulikuwa wasiwasi wangu. Yaani hujui kwamba Godzilla ni stori tu, hajawahi kuwepo duniani for real? Usije ukaniambia pia kwamba unaamini kwamba dragon naye ni mnyama halisi.Ok, hilo Godzilla nafikiri lilikuwepo miaka mingi iliyopita. Kwa sasa wanapatikana hawa komodo kama new model wao
Mkuu beefinjector nimetumia neno "nafikiri" nikiwa na maana kuwa sina uhakika wa mia kwa mia kuwa huyo mnyama alikuwepo au hakuwepo.Mkuu, huu ndio ulikuwa wasiwasi wangu. Yaani hujui kwamba Godzilla ni stori tu, hajawahi kuwepo duniani for real? Usije ukaniambia pia kwamba unaamini kwamba dragon naye ni mnyama halisi.
Wataalam wa wanyama washakiri kuwa king of the jungle Simba hawezi kuweka mguu maeneo ya hawa viumbe mkuu.Kenge aliechangamka
Haujaingia miziki ya koboko, simba, chui
Ni noma mzee kama huyo Jelly hata papa hasogei..Duh kumbe kila mtemi ana mtemi mwenzie
Hivi mfano mtu ukiwafuga hawa jelly fish 10 alaf ukaingiza waya wa umeme katika maji wanayoishi, je hauwezi kupata umeme wa kuwasha nyumba?Ni noma mzee kama huyo Jelly hata papa hasogei..
Hii ndio sababu watu wengi wanalichukulia poa, wanajua ni kibogoyo tu kwahiyo haliwezi kuwa na madhara.
😂😂😂 Inategemea umefumaniana nalo katika mazingira yapi. Kuna mazingira ukiwa kihasara hasara linakutoa nduki na usipokuwa makini linapiga jino mkuuni ili baadae utapoanguka lije kumaliza kazi.Madhara ni hiyo sumu kwa wanyama wengine ila kwa binadamu ni lioga linakimbia
Mkuu beefinjector nimetumia neno "nafikiri" nikiwa na maana kuwa sina uhakika wa mia kwa mia kuwa huyo mnyama alikuwepo au hakuwepo.
Kuhusu dragon pia sina uhakika wa 100% ila komodo dragon huyu tunaemzungumzia ktk thread hii yupo.
kenge wa kawaida kabisa,anakula nyoka bila kujali ni koboko ama cobra labda awe mkubwa kuliko uwezo wake kumla.Kenge aliechangamka
Haujaingia miziki ya koboko, simba, chui
Mate yake yana sumu mbaya sana tena sanaaa ..huwa hawindi kwa nguvu kama kina simba ye huwa smart sana anakuuma then anapoa pembeni kusubiri uanguke aje akutafune kiroho mbaya...
NI HATARI SANA HUYU KENGE SIMPENDI KABISA MIMI
Uliichek wapi mkuu, ili na mimi nikaichungulie fasta?Nimeicheki hii video
Nasikia mw/nyamala kisiwani wapo wakumwaga, sema walaji ndo hamna. Nenda tu kule utawakuta migombani wamejificha 😂😂😂Anapatikna wapi tumle supu!
Fikiria mkuu, kama wataalam wenyewe wa mambo ya wanyama wanakiri wazi kuwa hata king of the jungle Simba hawezi kuweka mguu maeneo ya hawa viumbe, hao wanaolipinga hili dubwasha wanapinga kwa vigezo gani?!kenge wa kawaida kabisa,anakula nyoka bila kujali ni koboko ama cobra labda awe mkubwa kuliko uwezo wake kumla.
huyo jamaa hapo juu sio league hizo za kenge wa 15kgs,liko kwenye 150kgs huko.uzito wa simba jike asiye na mawazo.
na ubaya wa huyu kenge uzombie hachagui windo,hata simba alijichanganya akapigwa jino lake anakuwa kama zombie analiwa.
Yani huyu ni zaidi ya hatari kwa kweli.Mate yake yana sumu mbaya sana tena sanaaa ..huwa hawindi kwa nguvu kama kina simba ye huwa smart sana anakuuma then anapoa pembeni kusubiri uanguke aje akutafune kiroho mbaya...
NI HATARI SANA HUYU KENGE SIMPENDI KABISA MIMI
Huyo swala lazima akawasimulie wenzake jinsi alivyonusurika kufanywa meal na hilo dudu.Kuna video ninayo hapa anammendea swala kamkosa kosa swala karuka balaa sema nikitaka kuituma humu eti nikiingia galery siioni au atachiment haipo siioni wakati kwenye galery ipo