koboko

Koboko is a town in Northern Region of Uganda. It is the main municipal, administrative, and commercial centre of Koboko District. Koboko is also the hometown of former dictator Idi Amin who ruled Uganda between 1971 and 1979.

View More On Wikipedia.org
  1. Mshana Jr

    Nyoka koboko

    Hapo ni Urambo Tabora na huyu ni Nyoka aina ya Koboko aliyeuliwa na wakulima. Koboko ndiyo nyoka hatari kuliko nyoka wote hapa duniani na hii ni kwa sababu ya mkusanyiko wa sumu kali alionao, nyoka huyu ana aina mbili za sumu ambazo hufanya kazi kwa pamoja na endapo mtu atang’wata basi ndani ya...
  2. Mjukuu wa kigogo

    Koboko aka Black Mamba

    Ndiye huyu sasa!Ukifika Tabora karibu sana Urambo.
  3. Idd Ninga

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    MAMBAS ni aina ya nyoka wakali wapatikanao ktk dunia ya leo. Ni nyoka wenye sumu kali na wenye kasi ktk mwendo na wana sifa ya kutaga mayai (oviparous). Kuna aina mbili za mambas : 1. GREEN MAMBAS. 2. BLACK MAMBAS. Green mamba wanasumu aina ya NEUROTOXIC na HAEMOTOXIC. Wanaishi miaka 12 hadi...
  4. Mr Dudumizi

    Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

    Habari zenu wana JF wenzangu. Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon. Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile 1) Tiger 2) Simba 3) Leopard, Cheetah (chui) 4) Mamba 5) King cobra, Black mamba nk. 6) Honey badger...
  5. M

    Dkt. Koboko tosheka na majukumu ya Udaktari, mwache Mfamasia kwenye eneo lake la madawa

    Inabidi tuseme wazi bila kupepesa macho!! Tatizo la Dr Koboko ni kuwa anaona kula kwa kadri ya urefu wa kamba ya udaktari tu haitoshi! anataka aunganishe na ile ya ufamasia!! Sababu yake ni kuwa eti kwa sababu anaweza kutoa dawa pharmacy bila mgonjwa kuwa na prescription Hataki mfamasia atoe...
  6. Dola Iddy Wa Chelsea

    Nahisi gheto kwangu kuna nyoka koboko

    Wadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji Na tangu jioni TANESCO wamekata umeme Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?
Back
Top Bottom