Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Kocha wa makipa simba mbaroni kwa kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroine.
Sambamba na boss wa Cambiaso
================
Kocha huyo, Mwalami Sultan ni kati ya watuhumiwa 9 akiwemo Mmiliki wa Kambiaso Sports Academy, Alhaj Kambi Zubeir Seif wanadaiwa kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroin zenye Kilo 34.89.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA), Gerald Kusaya Kusaya amesema watuhumiwa wote wamekamatwa katika maeneo mbalimbali ndani ya nchi katika Operesheni iliyofanyika Oktoba, mwanzoni na Novemba 2022.
Pia soma:
Sambamba na boss wa Cambiaso
================
Kocha huyo, Mwalami Sultan ni kati ya watuhumiwa 9 akiwemo Mmiliki wa Kambiaso Sports Academy, Alhaj Kambi Zubeir Seif wanadaiwa kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroin zenye Kilo 34.89.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA), Gerald Kusaya Kusaya amesema watuhumiwa wote wamekamatwa katika maeneo mbalimbali ndani ya nchi katika Operesheni iliyofanyika Oktoba, mwanzoni na Novemba 2022.
Pia soma: