Heroin, also known as diacetylmorphine and diamorphine among other names, is an opioid used as a recreational drug for its euphoric effects. Medical grade diamorphine is used as a pure hydrochloride salt which is distinguished from black tar heroin, a variable admixture of morphine derivatives—predominantly 6-MAM (6-monoacetylmorphine), which is the result of crude acetylation during clandestine production of street heroin. Diamorphine is used medically in several countries to relieve pain, such as during childbirth or a heart attack, as well as in opioid replacement therapy.It is typically injected, usually into a vein, but it can also be smoked, snorted, or inhaled. In a clinical context the route of administration is most commonly intravenous injection; it may also be given by intramuscular or subcutaneous injection, as well as orally in the form of tablets. The onset of effects is usually rapid and lasts for a few hours.Common side effects include respiratory depression (decreased breathing), dry mouth, drowsiness, impaired mental function, constipation, and addiction. Side effects of use by injection can include abscesses, infected heart valves, blood-borne infections, and pneumonia. After a history of long-term use, opioid withdrawal symptoms can begin within hours of the last use. When given by injection into a vein, heroin has two to three times the effect of a similar dose of morphine. It typically appears in the form of a white or brown powder.Treatment of heroin addiction often includes behavioral therapy and medications. Medications can include buprenorphine, methadone, or naltrexone. A heroin overdose may be treated with naloxone. An estimated 17 million people as of 2015 use opiates, of which heroin is the most common, and opioid use resulted in 122,000 deaths. The total number of heroin users worldwide as of 2015 is believed to have increased in Africa, the Americas, and Asia since 2000. In the United States, approximately 1.6 percent of people have used heroin at some point, with 950,000 using it in the last year. When people die from overdosing on a drug, the drug is usually an opioid and often heroin.Heroin was first made by C. R. Alder Wright in 1874 from morphine, a natural product of the opium poppy. Internationally, heroin is controlled under Schedules I and IV of the Single Convention on Narcotic Drugs, and it is generally illegal to make, possess, or sell without a license. About 448 tons of heroin were made in 2016. In 2015, Afghanistan produced about 66% of the world's opium. Illegal heroin is often mixed with other substances such as sugar, starch, caffeine, quinine, or other opioids like fentanyl.
Mamlaka ya Kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya, kwa kushirikiana na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama, imefanya operesheni maalum katika mkoa wa Iringa na kufanikiwa kukamata jumla ya kilo 276 za dawa za kulevya aina heroin na bangi na kuwakamata jumla ya watu 12 wakihusishwa na dawa...
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, Aretas Lyimo amesema Mamlaka hiyo kwa kushirikiana na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama imefanya operesheni katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Kilimanjaro na Arusha na kufanikiwa kukamata dawa za kulevya aina ya...
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kupambana na Kudhibiti Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo amesoma ripoti ya Operesheni iliyofanywa na mamlaka hiyo kuanzia Machi 25, 2023 hadi Juni 19, 2023 ikiwa ni takribani miezi miwili na wiki tatu ambapo amefafanua mambo mbalimbali kuhusu uhalifu wa dawa za...
Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imemuhukumu Lione Lionel Rayford raia wa Marekani kifungo cha miaka 20 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin kiasi cha kilo 2.188.
Taarifa iliyotolewa leo Mei 27, 2023 na Mamlaka ya Kudhibiti na...
Wafanyabiashara watatu, Goodness Remy mkazi wa Salasala, Emmanuel Chigbo Mkazi wa Goba na Paulina Mwanga mkazi wa Kibaha wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na Mashtaka ya Uhujumu Uchumi.
Wakili wa Serikali, Frank Michael, ameiambia Mahakama kuwa, washtakiwa walitenda kosa...
Mchungaji na mfanyabiashara raia wa Nigeria, Henry Ozoemena, anayekabiliwa na kesi ya kusafirisha kilo 20 za dawa za kulevya aina ya Heroine, amefariki dunia baada ya kupata shambulio la moyo akiwa mahabusu katika gereza la Segerea, jijini Dar es Salaam.
Wakili Yasin ameieleza Mahakama ya...
Kocha wa makipa simba mbaroni kwa kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroine.
Sambamba na boss wa Cambiaso
================
Kocha huyo, Mwalami Sultan ni kati ya watuhumiwa 9 akiwemo Mmiliki wa Kambiaso Sports Academy, Alhaj Kambi Zubeir Seif wanadaiwa kukutwa na dawa za kulevya aina ya...
Mkazi wa Nungwi kisiwani Zanzibar, Athumani Akida Juma (32) amekamatwa na pakiti 20 zenye kete 2,401 zinazodaiwa ni dawa za kulevya aina ya heroin.
Hayo yamesemwa na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kupambana na Kudhibiti Dawa za Kulevya Zanzibar, Kanali Buruhani Zuberi Nassoro wakati akizumgumza na...
Jeshi la Polisi mkoani Arusha linamshikilia mfanyabiashara Abdi Hamis (27) mkazi wa Ngarenaro na Ally Said (25) dereva na mkazi wa Olasiti baada ya kukamatwa wakisafirisha dawa za kulevya aina ya Heroin gramu 70.77 kwa kutumia gari Na. T 949 DQA lenye tela Na. T. 253 CXR.
Kamanda wa Polisi wa...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia LUSEKELO ELISHA MWAKANGATA mwenye umri wa miaka 19, Mkazi wa Mama John kwa kosa la kupatikana na kete sita sawa na gramu 0.3 za madawa ya kulevya yadhaniwayo kuwa ni heroin.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ulrich Matei amesema kuwa mtuhumiwa...
Watu watatu wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mkoani Dar es salaam, wakikabiliwa na shtaka moja la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin kilo 1 na gramu 200.
Washtakiwa hao ni Andrew Paul, Said Mugoha na Geroge Mwang’ata wote wakazi wa Temeke mkoani Dar es salaam...
RAIA wawili wa Nigeria, Prince Uche Igwilo(39) mkazi wa Bunju na Hanifa Ally Chig'wele( 22) mkazi wa Tegeta kwa Ndevu wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na shtaka la kusafirisha kilo sita za dawa za kulevya aina ya Heroin.
Katika hati ya mashtaka...
Waziri wa Nchi - Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama amesema katika kipindi cha mwaka 2019 hadi 2020 jumla ya Dawa za Viwandani Kilo 426.363, pia bangi na mirungi Tani 26.34 zilikamatwa.
Amesema Serikali imebaini mitandao ya...
Watanzania wawili wamekamatwa na zaidi ya kilo 15 za heroin katika uwanja wa ndege mjini Chennai nchini India.
Watanzania hao (Mwanamume na mwanamke) waliofika Chennai kwa ndege ya Qatar Airways 528 kutoka Johannesburg kupitia Doha, kwani hawakupata ndege ya moja kwa moja kwenda Bengaluru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.