Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Haya tuelezee wewe ambaye unayeijua.
sijasema chochote kuhusu dhamira yake ila nimesema vitendo vyake... ninaongelea kuhusu kile anachofanya na sio kile anachofikiri..... Get it?
Haya tuelezee wewe ambaye unayeijua.
Huyu mama ni mmoja kati ya wabunge wachache wa CCM ninaowakubali. Hongera Mwanakijiji kwa kufanya nae interview. Huyu mama anawafanya baadhi ya madokta na maprofesa yaliyojazana kule bungeni kupitia CCM kama kindergarten vile kielimu, kwa kuchanganua hoja na kusimamia maslahi ya nchi.
Kwa hoja hii ningelikuwa mmojawapo, basi ningeliomba kuaga bungeni na kurudi vyuoni.
Anyway sijui mtu kama ana Elimu kama hiyo,na hana uwezo wa kuongea/kusaidia wananchi kwa manufaa ya umma, kwa nini aende huko?
Next time itabidi tuanze kuwataja majina na kuangalia mchango wa kila mmoja tangia aingie bungeni.
Tunaanza na Prof Msolla mabye ufisadi wake uko wazi. Hafai hata kurudi chuoni maana atawaambukiza vijana wetu ufisadi.
sijasema chochote kuhusu dhamira yake ila nimesema vitendo vyake... ninaongelea kuhusu kile anachofanya na sio kile anachofikiri..... Get it?
Time will tell. Nadhani tulipe muda hili, tutakuja kujua upande upi wa ukuta alioko huyu mama.
Kwa kuongeza tu, nakubaliana na wewe, jitihada anazoonyesha ni mwanzo mzuri "regardless of" dhamira yake.
Namkodolea tu huyo mama kama kweli anamaanisha anachoongea au ndiyo mambo ya kisasi ya 2005
Kuhani Mkuu.. ungekuwa umesikiliza mahojiano yenyewe basi ungekuwa na haki ya kurusha dongo hilo... but of course you can't wait to pass judgement..
Mwnkjj,
Wewe umesha msikiliza. Na tayari umesha mu endorse. Kwa hiyo chochote nitakacho sikia Ijumaa, mwisho wa siku una mu endorse. Ume endorse mtu anaesema Kikwete ana nia ya kweli kuleta mabadiliko wakati kuna paper trail ndefu inayoonyesha mwelekeo wako unaoswalisha nia ya Kikwete.
Nimekosea wapi ku point out contradiction kati ya mawazo ya uliye mu endorse na mawazo yako yaliyoko kwenye rekodi?
Hata hivyo, naomba tu suspend hii sub topic ya endorsement yako kwa Mama Mbunge mpaka Ijumaa!
sijasema chochote kuhusu dhamira yake ila nimesema vitendo vyake... ninaongelea kuhusu kile anachofanya na sio kile anachofikiri..... Get it?
tatizo ni kwamba alikuwa wapi miaka yote mpaka sasa ndio muone anachofanya ni kizuri ni kama si unafki huo anaofanya she has been there for quite a while now ghafla tu mama kaibuka na kuwa na machungu na nchi sasa ni kweli ana machungu na nchi ama anamachungu na mengine?????????????????
tatizo ni kwamba alikuwa wapi miaka yote mpaka sasa ndio muone anachofanya ni kizuri ni kama si unafki huo anaofanya she has been there for quite a while now ghafla tu mama kaibuka na kuwa na machungu na nchi sasa ni kweli ana machungu na nchi ama anamachungu na mengine?????????????????
Mkapa Best Yake Yona Huyu Mama Na Yona Hawaivi Japo Kipindi Yona Alikuwa Anamchukua Akamtelekeza Sasa Issue Zinakuja Hadi Kwenye Ubunge Yona Na Kilango Walichezeana Faulo Wanatoka Kumoja,pia Mkapa Walimfanyia Usiku Bakulutu Malecela Kwenye Uraisi Sasa Mama Atahakikisha Hakuna Jiwe Juu Ya Jiwe
Mkapa Best Yake Yona Huyu Mama Na Yona Hawaivi Japo Kipindi Yona Alikuwa Anamchukua Akamtelekeza Sasa Issue Zinakuja Hadi Kwenye Ubunge Yona Na Kilango Walichezeana Faulo Wanatoka Kumoja,pia Mkapa Walimfanyia Usiku Bakulutu Malecela Kwenye Uraisi Sasa Mama Atahakikisha Hakuna Jiwe Juu Ya Jiwe