Mwnkjj,
Wewe umesha msikiliza. Na tayari umesha mu endorse. Kwa hiyo chochote nitakacho sikia Ijumaa, mwisho wa siku una mu endorse. Ume endorse mtu anaesema Kikwete ana nia ya kweli kuleta mabadiliko wakati kuna paper trail ndefu inayoonyesha mwelekeo wako unaoswalisha nia ya Kikwete.
Nimekosea wapi ku point out contradiction kati ya mawazo ya uliye mu endorse na mawazo yako yaliyoko kwenye rekodi?
Hata hivyo, naomba tu suspend hii sub topic ya endorsement yako kwa Mama Mbunge mpaka Ijumaa!
tatizo ni kwamba alikuwa wapi miaka yote mpaka sasa ndio muone anachofanya ni kizuri ni kama si unafki huo anaofanya she has been there for quite a while now ghafla tu mama kaibuka na kuwa na machungu na nchi sasa ni kweli ana machungu na nchi ama anamachungu na mengine?????????????????
Mkuu Kuhani
Nafikiri kuwa Mwanakijiji anapokuwa anatuletea habari hapashwi kuleta msimamo wake anapashwa kuleta taharifa kama alivyo ipokea ni sisi wasikilizaji wenye maamuzi ya kuchagua kama kilichoongewa ni sahii au la.
Sasa hapo unamweka kwenye kona mwenzio kwa sababu yeye ndio aliye mu endorse Mama Mbunge!
Kwa hiyo inabidi Mwanakijiiji aji distance na endorsement yake kwa Mama Mbunge halafu aje tena aji distance na endorsement yako kwake yeye, kwa sababu unazidi kumuingiza kwenye controversy. Kwamba hakutakiwa ku endorse kama mleta habari (according to you!) LOL!
Nadhani ulikuwa unamaanisha ubunge wa Ubungo siyo Kimara.Ninaomba kusema hivi, recently kumezuka tabia ya kuacha kutoa hoja na kugusa mambo ya wake za watu hapa JF, na maneno ya kashfa zisizokuwa na ukweli, sasa ninaomba kusema hivi wale mnaotaka kwenda hiyo avenue muwe makini, maana wake zenu wanajulikana na tabia zenu nje ya wake zenu zinajulikana tena sana, sasa ninawaomba muwe waangalifu sana kwenye hiyo avenue ya wake za watu ambazo hamna uhakika, maana zitawekwa za kwenu zenye uhakika, halafu hatutaelewana hapa, na zitafikishwa kwa wake zenu na nyinyi mtaruhusiwa pia kufanya hivyo yaani kufikisha habari mnazozijua za wengine kwa wake zao!
Mbunge shujaa Anne Kilango Malecela, sidhani kama anahitaji endorsement ya anybody hapa kuendelea na kazi yake ya wananchi, waliomtuma bungeni, mbona sometimes tunapenda kujipa madaraka tusiyokuwa nayo?
Wenginew tunamuombea tu aendelee salama na Mungu ampe maisha marefu na msimamo alio nao na wabunge wengine kama Zitto, Slaa na Mwakyembe.
Mama Kilango alikosa unbunge wa Kimara, lakini Mkapa akampa wa bure, unless kuna something sielewi!
Kuhani Mkuu.. ungekuwa umesikiliza mahojiano yenyewe basi ungekuwa na haki ya kurusha dongo hilo... but of course you can't wait to pass judgement..
I hope umenielewa kwenye the big picture, na ni kweli ni Ubungo na sio Kimara kama ulivyosema, lakini ninaamini kuwa nimeeleweka on the big picture!