Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,610
- 59,579
🤣pole mkuu.
Kaa mbali na kamba
🤣pole mkuu.
Kaa mbali na kamba
Wewe unataka kumtia tu hizo heshima atajua mwenyewe kwa kumpaHeshima yako mimi kama mume siitaki, baki nayo tu. Mm nataka uchi TU heshima baki nayo
Acha upimbiUkiona kiburi imezidi kuna kitu hujafanya sawa![]()
Ishi nao kwa akili![]()
We sometimes dume sometimes jikeKijana kataa ndoa afya ya akili ni muhimu kuliko hiyo ndoa

Alisikika akijisemeaAcha upimbi
😆 Double decker hio ingia kichwa kichwa ule za usoWe sometimes dume sometimes jike![]()
Sometimes sina jinsiaWe sometimes dume sometimes jike![]()
Tunadanganyana sanaMwanamke yeyote ana kiburi kwa asili, ila unaweza kumfanya mtumwa endapo utafanikiwa kuwa na vitu hivi viwili. cha kwanza, ni PESA, cha pili ni kumkuna hadi hamu yake yote iishe. ukifanikiwa kwenye hivyo, hata ukifanya kosa lipi, atakusamehe, hata uwe na mapungufu gani atayavumilia, tena hasa icho cha pili cha tendo la ndoa. utamburuta kama mtumwa hadi nguvu zitakapokuisha.
😆 Una kipaaraSometimes sina jinsia
Nani kakudanganya umeoa wewe?Tunadanganyana sana
Serious?Wanawake walioolewa(wake) ni wasumbufu sana
Mwanamume kataa ndoa kwa nguvu zote afya ya akili ni muhimu kuliko ndoa
Wewe umeoa Manara?Serious?
Oa ujioneeSerious?
🤣🤣🤣🤣Mwamba amenyooshwa mpaka anashindwa pa kuanza kusumulia
😅😅😅Dah aisee mi kiburi tu hawa watu kiburiiiiii
Kakutana na ngumi toka UKRAINE.Yaani huyu mwamba kila nikijisikia kucheka huwa nakuja kuusoma uzi wake 🤣🤣🤣🤣🤣
Jamaa kavurugwa hata hajui aanzie wapi kuandika
😅😅😅
Kwa hiyo siku Mume akipata maradhi, ajali au uwezo wake wa kipato ukiwa chini, ndoa ndio hali Jojo?Mi niwe mkweli...kitakachonituliza ndani ni mume Mwenye kuwajibika kwa familia yake tu...ila ukishaniachia majukumu for 80% usitegemee kukuheshimu as a man
Yote kafanya Manara na Bado kaachwa Dubai?Mpe matumizi mazuri
Mpe nyumba nzuri
Mpe gari nzuri
Mpe mapenzi ya kutosha
Mpe pesa ya kutosha- hata awe anakutunzia tuu impe uhakika wa maisha![]()
Halafu Rudi utuambie kama bado ana kiburi![]()