TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 10,745
- 29,219
Copied. Dead or alive? We commingAlpha team one man down, I repeat man down.over
Copied. Dead or alive? We commingAlpha team one man down, I repeat man down.over
Leo wanakutana KFC au INSTA kisha kesho wanatangaza ndoa!Kama unahitaji mwanamke sahihi tuulize sisi hapa upewwe vigezo ukimbilia hao ulikutana nao chuo utajua mwenyewe
Jongelee wewe peke yako. Acha ushamba!Dah aisee mi kiburi tu hawa watu kiburiiiiii
Vizazi vijavyo vitakua vinasoma kwenye vitabu kwamba kulikuwaga na ndoaKwa jinsi maisha ya ndoa yalivyo hasa kwa hii generation,inaonekana huko mbeleni ndoa itabaki kua historia tu.
Bwege kabisa hilo. Taahira kabisaJamaaa mpaka ameshindwa kuandika, ujue yamempata
Hapo ndo balaa ila kwa kweli wanawake ni maadali tujaribu kuvuta picha na zamani waliwezaje kuishi poa.Leo wanakutana KFC au INSTA kisha kesho wanatangaza ndoa!
Mwamba amenyooshwa mpaka anashindwa pa kuanza kusumuliadaah kubabake 😂 nacheka kama mazuri
KudosKaambali na mwanamke.
Acha yafe. Yanakuaga mabishi mno haya majinga/mas3ng3Kama unahitaji mwanamke sahihi tuulize sisi hapa upewwe vigezo ukimbilia hao ulikutana nao chuo utajua mwenyewe
Kila mtu siku hizi ni mjuaji,utandawazi nao unachangia,kila mtu yupo busy,watoto kutwa mitandaoni.Hapo ndo balaa ila kwa kweli wanawake ni maadali tujaribu kuvuta picha na zamani waliwezaje kuishi poa.
Sasa ndoa ni hatar sana .
Mkuu em tiririka na sisi tujifunze!Kama unahitaji mwanamke sahihi tuulize sisi hapa upewwe vigezo ukimbilia hao ulikutana nao chuo utajua mwenyewe
Tuwape heshima na hadhi yao wanayostahili, sometimes wakosaji si wao bali ni wenza waoDah aisee mi kiburi tu hawa watu kiburiiiiii
Juzi mume kamuua mke kwa kumchinja na kukinga Damu kwenye ndoo then kaenda bar kunywa pombe,,toa sana offer huku home kachinja mke. Unaambiwa waliachana then mke akamrudia bwana.Ifikie hatua watu wajue X-harudiwi.Pia kuachana si dhambi...kuchokana kupo mtauana nawaambiaTalaka zipo, wazee wa busara wapo, wakwe wapo, mshenga yupo, padre sijui mchungaji, sheikh wapo, mahakama zipo
Vitumieni hivi vyombo, msije mkafa kwa msongo wa mawazo...
Pole kiongoziDah aisee mi kiburi tu hawa watu kiburiiiiii
ExactlyMwanamke anapenda kitu ambacho huna.
🤣🤣🤣Acha yafe. Yanakuaga mabishi mno haya majinga/mas3ng3