Kiumbe kinachoitwa ‘mke’ kiogope

Kiumbe kinachoitwa ‘mke’ kiogope

banaaa we acha haya mambo hayasomeki unaweza otewa mahala ukaisha 😀😀😀
Sema hawa viumbe kipindi cha urafiki na uchumba ni wanafiki sana inahitaji akili ya ziada kwa mwanamume kuwasoma

Wanetu wengine wakishapewa mbunye, miuno feni, mara kapigwa bj wanapumbazwa wanaona washapata
 
Sema hawa viumbe kipindi cha urafiki na uchumba ni wanafiki sana inahitaji akili ya ziada kwa mwanamume kuwasoma

Wanetu wengine wakishapewa mbunye, miuno feni, mara kapigwa bj wanapumbazwa wanaona washapata
ndio maana inabidi uwe malaya pro max kabla hujaingia kwa ndoa 😀😀😀 kidogo walau uwe unechalaza pussy 200 kabla ya ndoa
 
Mpe matumizi mazuri
Mpe nyumba nzuri
Mpe gari nzuri
Mpe mapenzi ya kutosha
Mpe pesa ya kutosha- hata awe anakutunzia tuu impe uhakika wa maisha


Halafu Rudi utuambie kama bado ana kiburi

Kweli wanaosema mnufaika ni mwanamke hawajakosea, sasa Kungwi hivi pia ndio mnawaambia mabinti kuwa wanastahili kuvikuta kwetu ama!!?
 
Mpe matumizi mazuri
Mpe nyumba nzuri
Mpe gari nzuri
Mpe mapenzi ya kutosha
Mpe pesa ya kutosha- hata awe anakutunzia tuu impe uhakika wa maisha


Halafu Rudi utuambie kama bado ana kiburi
Huku ni kuwajaza ujinga mabinti.

Hvyo vyote babake(ambae alikuepo duniani kabla yangu), kashindwa kumpa afu unataka mm mwenye miaka 20s dunian nihangaike kumpa!!! Duh yeye ananpa nn zaidi ya mbususu ambayo pale riverside nainunua kwa buku tano tu?
 
ndio maana inabidi uwe malaya pro max kabla hujaingia kwa ndoa kidogo walau uwe unechalaza pussy 200 kabla ya ndoa
Hata uchalaze Malaya idadi ya kujaza yutong kumi ukijichanganya tu inakula kwako.

Ili uweze kuwamudu hao viumbe usiwe serious sn kwenye mahusiano nao fanya kupotezea kwenye baadhi ya mambo utaona unavyowamudu
 
Kapigwa!
IMG-20230114-WA0109.jpg
 
Mi niwe mkweli...kitakachonituliza ndani ni mume Mwenye kuwajibika kwa familia yake tu...ila ukishaniachia majukumu for 80% usitegemee kukuheshimu as a man
Wakati huo we una provide nini katika union yenu?.
Yaani nikishindwa ku-meet up na mahitaji na vipengere ulivyojiwekea ndiyo unaidharau!.
Bhota bhabha Madoho!!.
Kweli😬😬!!..
kuna mwingine anasema" Mke mpa nyumba nzuri, gari nzuri, mavazi mazuri nachakula kizuri, atakuheshimu".
Yaani ninavyolima hivi asubuhi na jioni nipate hela ninue gari etc then nimpe mke ili aniheshimu!!. Yaani maangaiko yangu yote yawe ni kutafuta heshima kwa mwanamke?. HIIIII NAKOLOTA.
 
Back
Top Bottom