Kiumbe kinachoitwa ‘mke’ kiogope

Kiumbe kinachoitwa ‘mke’ kiogope

Ukisikia Yalaah.........

Jamaa wamwagie nondo nyingine



Me nna ishi na hi
IMG_8096.jpg
 
Mke ni msaidizi wako. Sasa kama hakuna unacho initiate wewe ili akusaidie ujue hapo ndio shida linapoanzia

Mwanaume ishi na mwanamke kwa akili
Akili Akili Akili
Na ikiwa una-initiate ila hajui nafasi yake, hapo pia alaumiwe mwanaume?

Ninachomaanisha ni kuwa, kwenye makosa ya kimahusiano yoyote yule anaweza kuwa chanzo na sio mwanaume tu, kama jinsi ambavyo ulimaanisha kwenye ile comment yako ya mwanzo.
 
Kwa jinsi maisha ya ndoa yalivyo hasa kwa hii generation,inaonekana huko mbeleni ndoa itabaki kua historia tu.
Ndoa (familia) ndiyo taasisi-mama katika uhai wa jamii iliyostaarabika na dini karibu zote zinatuambia kuwa mwanzilishi wake ni Mungu mwenyewe. Hata katika dini za Kiafrika waanzilishi wa makabila mengi ya Kiafrika ni mke na mme waliokutana kimungu wakaungana na kuanzisha kabila fulani.

Shetani anajua kuwa akifanikiwa kuiangusha taasisi hii ya msingi basi atakuwa amemaliza kila kitu maana kila kitu kitakuwa ni vurugu tupu. Na inavyoonekana amekaba kila kona...kuanzia kwenye ndoa/familia za kawaida kama ya mleta mada na hizi zingine anazojaribu kuzianzisha . Sijui tutakimbilia wapi!
IMG-20230107-WA0066.jpg
 
Na ikiwa una-initiate ila hajui nafasi yake, hapo pia alaumiwe mwanaume?

Ninachomaanisha ni kuwa, kwenye makosa ya kimahusiano yoyote yule anaweza kuwa chanzo na sio mwanaume tu, kama jinsi ambavyo ulimaanisha kwenye ile comment yako ya mwanzo.

Kama una-initiate halafu yeye hajui nafasi yake ndio nitarudi nikuulize kilichokuvutia hadi upeleke posa ulipe na mahari ni kipi? Au ndio msambwada😂😅😅
 
Yan sijui kwanini nimecheka 😂😂😂

Inasemekana wanakuwaga wapole enzi za uchumba, ukishamweka ndani ndio unaanza kuona rangi nyingine.
Mwanamke yeyote ana kiburi kwa asili, ila unaweza kumfanya mtumwa endapo utafanikiwa kuwa na vitu hivi viwili. cha kwanza, ni PESA, cha pili ni kumkuna hadi hamu yake yote iishe. ukifanikiwa kwenye hivyo, hata ukifanya kosa lipi, atakusamehe, hata uwe na mapungufu gani atayavumilia, tena hasa icho cha pili cha tendo la ndoa. utamburuta kama mtumwa hadi nguvu zitakapokuisha.
 
Kama una-initiate halafu yeye hajui nafasi yake ndio nitarudi nikuulize kilichokuvutia hadi upeleke posa ulipe na mahari ni kipi? Au ndio msambwada😂😅😅

Swali lako hili linathibitisha kuwa kuna wanawake ambao hatuwezi kuishi nao kwa akili no matter how tunajaribu.

😄😄
 
Dah aisee mi kiburi tu hawa watu kiburiiiiii
Tatizo vijana wengi wanaoa kwa matamanio yao hawawashauri wazee wao
Ndo likija kukukuta ndo unaishia kuleta thread kma hizi

Ukitaka kuoa waambie mama zako au dada zako wakutafutie mke mna w.ke wanajuana wenyewe hao
 
Dah aisee mi kiburi tu hawa watu kiburiiiiii
Siyo mimi ni Petro

1 Pet 3:7 SUV​

Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.
 
Back
Top Bottom